Tangazo la Wekeza la Tigo

Tangazo la Wekeza la Tigo

Nimeingiziwa elfu 18 nikajua in fix thanks anyway tawekeza
 
Hakuna biashara ya Hasara,kuna sehemu tunaliwa.Either kwenye Vocha au kwenye makati ya kutuma na kutoa.
 
mimi nilinunua umeme jana wakanipa buku saba plus. kama watakata kwa namna nyingine fresh tu ila hii nimeiona.
 
Tunaanza na 'Hakatwi mtu hapa' then 'Hatoki mtu hapa'
Anyway, wale wa kwanza wanafaidi na kuvutia wengi zaidi kujiunga then tunaanza kurudisha kile tulichopata mwanzo later.
Mambo ya Marketing Strategies hayo! Asante Prof wng wa Economics- No free lunch in this world we live!

Sent from my BlackBerry 9220 using JamiiForums
 
Kila nikiikumbuka desi napata mawenge na ishu hizi za pesa za dezo dezo ila naamin hii dawa ni kuwa wa kwanza kwanza kama hiv
 
Kila nikiikumbuka desi napata mawenge na ishu hizi za pesa za dezo dezo ila naamin hii dawa ni kuwa wa kwanza kwanza kama hiv

Hapa kinacho matter ni matumizi yako ya Tigo tu. kama ni mpenzi wa TIgo sana subiri mahela
 
Kila nikiikumbuka desi napata mawenge na ishu hizi za pesa za dezo dezo ila naamin hii dawa ni kuwa wa kwanza kwanza kama hiv
hizi ni promotion na publicity... Badala kutenga milioni kadhaa na zote kuzipeleka kwenye media kutangaza wakitoa zawadi/riba kubwa kwa wateja hii itasaidia wengine kujiunga as well as kuwaambia wengine na kuwa gumzo kwa raia hii in promotion wise ni money well spent
 
hizi ni promotion na publicity... Badala kutenga milioni kadhaa na zote kuzipeleka kwenye media kutangaza wakitoa zawadi/riba kubwa kwa wateja hii itasaidia wengine kujiunga as well as kuwaambia wengine na kuwa gumzo kwa raia hii in promotion wise ni money well spent

Thanks very much mkuu, umeeleweka vyema hapo nawapa like watu wa marketing department wa tigo, hii imenivutia sana
 
Ninevuta 61,000 sikuaminii
Mkuu unazid kunipa moto kesho niko ofice za tigo kusaka uteja,, uliweka shilling ngapi,, na kwa muda gani hadi umepata hyo yote,,? Kama inategemea na transaction zako transaction ngapi umefanya kwa muda huo,, mkwanja mrefu huo mshahara wa mlinzi wa mwezi wa shule za primary za serikal huo
 
Mkuu unazid Kama inategemea na transaction zako transaction ngapi umefanya kwa muda huo,, mkwanja mrefu huo mshahara wa mlinzi wa mwezi wa shule za primary za serikal huo
..Natumiwa mauzo na manunui sh 1.6 Mil kwa wik hivi na kuwalipa mafundi sh 200 000 kwa siku
 
Back
Top Bottom