Kwa hyo unatuambia jiji la Delhi na Mumbai kuanzia hv ss mpaka 2100 watakua hawaongezeki, hawatozaana tena na wengi watakufa? Coz kama hv Sasa wamelizidi jiji la dar itakua wanaendelea kulizidi kwa uwingi wa watu
Sent using Jamii Forums mobile app
Yaani mkuu kama ungepata mate ya nyoka hayo ndio kiboko ya yote, co kuongeza nguvu bali hata kukojoa unachelewa pia, tafuta mate ya nyoka
Sent using Jamii Forums mobile app
Nikiwa kama private investigator hii story naihisi iko kinyume na ulivyopata story, itakua ww unajua kuhusu kifo cha jamaa au jamaa kakupa story ya uongo ili kuficha ukweli, kwa mtazamo wangu Huyo jamaa hakujiuwa ameuliwa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.