Wabunge watano wa bunge la jamhuri ya Muungano wa Tanzania mh Tundu Lisu, Moses Mashali, Mnyika na wengne wawili wazuiwa kushriki vikao vya bunge vilivyobaki.
Sababu kubwa ni kwamba wamekuwa ni chanzo cha vurugu bungeni.
Duuuuh! Patamu hapo.
Chanzo: ITV-HABARI.
Me nadhan wakuache tu na hela zako manaake daah!!! Hizo hela ni zako kama huna cha kumshauri jamaa basi just shut up ur poor mouth....me sioni tatizo hapo kwa mtu kutumia mihela yake!!!! Mumuwacheeeeee
Nadhan urembo siyo kitu cha msingi sana!!! Kama unataka kuoa chagua urembo wa tabia ndo kila kitu!!!! Japokua urembo uko machon mwa mtu co lazma mrembo kwangu awe mrembo kwako pia!!!
hahaaa dadangu kuna mijanaume mingne ni majanga....jitu halijui kudiscuss issue na mpenzi wake linaamka tu na kutangaza kubwagana...
matatzo ya kukulia kotaz hayo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.