Km unapinga kwa hoja maana yake umeona mbali na haswa unakichwa kizuri maana serikali ikitaka kufungafunga mambo huwa inajipanga mpk uje kujua basi upo vizuri lkn bila hvyo unakuwa mtu wa kuitikia na kugonga meza tuu km wajingawajinga akina Livingstone Lusinde toka jimbo la mtera.
Ukiwa na akili utaona mzanzibar pia ni mtanzania lkn m'bara ni mtanzania lkn cyo mzanzibar... Na huwezi kukamilisha tanzania bila zanzibar , sasa km mtanzania wa zanzibar ana utambulisho wa jumla (Tz) na pia ana zanzibar, hauoni kwamba m'bara kuna haja ya kuwa na utambulisho wao?
Maana yng kwa...
Huwez kuwa timamu ukaandika upuuzi huu, unatuaminisha ccm ni chama chakuendelea kupewa nafasi leo tena toka 1977 kwa hali hii? Sheeenzi kabisa utakuwa mchawi wewe uzeeni
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.