Jack mengi???? c bora hata hoyce temuJokate, Jacqueline mengi, na Dorice mollel anakujakuja
Jack mengi???? c bora hata hoyce temuJokate, Jacqueline mengi, na Dorice mollel anakujakuja
Labda wadangaji.Jokate, Jacqueline mengi, na Dorice mollel anakujakuja
Ndio Nani huyo manzi?Dorice nae ni celeb?
Wapo wenye mafanikio lakini ni wachache sana..Huu uzi upo tricky, nadhani wanawachimba watu wafunguke maana kuna watu wanatajwa hapo sion hayo mafanikio
Kweli ila mtego upo kwenye bila kashfa, wengi mapito yao yana konakonaWapo wenye mafanikio lakini ni wachache sana..
Demu mmoja hivi anajihusisha na kusaidia watoto njiti..Ndio Nani huyo manzi?
Ni kweli, kama Jack Mengi, ni kweli amefanikiwa na kwasasa anajituma sana even though mumewe ni billionea..Kweli ila mtego upo kwenye bila kashfa, wengi mapito yao yana konakona
Inabidi akazane aisee, maana mie muda mwingi nna access na radio, tv na internet bado simfahamu!Demu mmoja hivi anajihusisha na kusaidia watoto njiti..
Sio wewe tu.. Hata humu JF sidhani kama anafahamika na walau na watu 100 tuInabidi akazane aisee, maana mie muda mwingi nna access na radio, tv na internet bado simfahamu!
Ndio....kidogo jide.Hamisa mobeto (utani wa ngumi)
Labda Jaydee
Hamisa mobeto (utani wa ngumi)
Labda Jaydee
jokete ana nini?Jokate, Jacqueline mengi, na Dorice mollel anakujakuja
Jokate huyu aliyeko kwenye kundi la uvccm?Jokate, Jacqueline mengi, na Dorice mollel anakujakuja
uvccm ndio kete ya mwisho ya wanawake walioshindwa kupambana na maisha, wanatafuta fadhila, vyeo na upendeleo. Na ikifikia hapo ujue kwisha kaz yake!!Jokate huyu aliyeko kwenye kundi la mafisi wa uvccm?
Hakika mkuuuvccm ndio kete ya mwisho ya wanawake walioshindwa kupambana na maisha, wanatafuta fadhila, vyeo na upendeleo. Na ikifikia hapo ujue kwisha kaz yake!!