ni kweli wengi wanao coment hawajawahi shika hiz promax au pro, siku wakimiliki hawatataka kurudi android, hizi simu ni dunia nyingine, na iphone sio ya kila mtu ina class zake
sio kweli mkuu tuna iphones na hatupat shida ya kupakua video youtube insta na mtandao wowote unaoujua , ambaye hawes pakua ni mgeni wa simu, huitaji kua na app kupakua , mf ukifungua site inaitwa savefromnet, unapaste link yoyote yenye video inapakua hii ni kote ios na android
iphone upande wa picha nawakubali sana camera zao yani point and shoot yani humiss kitu hicho ndio kimewaahinda samsung samsung inahitaj utulize mkono hata baada ya kupiga , kwa moving object iphon wamewaacha andeoid mbal na uzoef na hiz sim kwa sasa namilik hiz iphone 11 na note 9 naona...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.