Nauza gari Mitsubishi Outlander (2009) - Bei ni Mil 18.

Nauza gari Mitsubishi Outlander (2009) - Bei ni Mil 18.

Wakuu, gari imeshachukuliwa na mdau kutoka humu humu. Nashukuru sana kwa wote waliochangia mawazo na walioonesha nia. Mbarikiwe sana na muwe na siku njema! 🙏🏾
Ooh hongera sana.
Jf ni pana sana na imejitosheleza kila idara
 
Ooh hongera sana.
Jf ni pana sana na imejitosheleza kila idara
Nimeamini hilo maana imekuwa rahisi sana kuelewana na mtu na kufanya biashara wakati hata kuonana hatujaonana. Shukrani sana! 🙏🏾
 
Nimeamini hilo maana imekuwa rahisi sana kuelewana na mtu na kufanya biashara wakati hata kuonana hatujaonana. Shukrani sana! 🙏🏾
Yeah Watu wa JF tunaaminiana sana,kuna watu waelewa sana na pesa sio ishu kwao.
Ungeuza kimtaani mtaani ingekuchukua mwaka mzima hadi uje kumpata mnunuzi wa kweli
 
Yeah Watu wa JF tunaaminiana sana,kuna watu waelewa sana na pesa sio ishu kwao.
Ungeuza kimtaani mtaani ingekuchukua mwaka mzima hadi uje kumpata mnunuzi wa kweli
Na pia mtaani madalali wanaharibu sana. Huku unakutana na mtu mnaelewana bei reasonable bila mtu kati biashara inaisha. Nimejifunza vingi sana.
 
Na pia mtaani madalali wanaharibu sana. Huku unakutana na mtu mnaelewana bei reasonable bila mtu kati biashara inaisha. Nimejifunza vingi sana.
Ndio hivyo mtaani watu wanaishi kwa ujanjaujanja na tamaa
 
nimechelewa iona hii post hii gari ndio naitafuta itabidi niiagize sasa
 
Back
Top Bottom