Hayo yalinikutaga kwa Joan. Sitasahau alinisumbua sana. But now niko fresh. Nilionana naye last week Mlimani city akanambia ni utoto ndio ulikuwa unamsumbua.
Sio kweli mie ni muhanga wa wanawake wa kichaga. Nilioa ndoa ya kanisani mwaka 2015. Tukahama toka Arusha tukaja Dar. Aisee yule mwanamke alinibadilikia mpaka nikajiuliza hili ni jini au pepo? Kawa mlevi na malaya. Nilichokifanya ni kuondoka kumuacha aendelee na ujinga wake. Sasa hivi yuko hoi...
Hizo ni hekaya za abunuwasi. Hakuna sheria ya kumuweka afisa au askari mahabusu kwa kutosaluti. Na huwezi kufananisha TPDF na polisi au magereza ni vitu tofauti kimuundo mpaka majukumu.
Daaaah mleta uzi umenikumbusha machungu yangu. Ilikuwa mwaka 2005 ndio nimepata kaajira kangu sasa pale kitaa Migomigo Idrisa kuna mama mmoja wa kichaga ana mtoto wake pini kinoma anaitwa Sia kamemaliza tuu form six. Nikamtokea akakubali nikawa najilia tu kimtindo. Sasa kumbe kuna mtoto mmoja wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.