Recent content by Baba Wawili 2012

  1. B

    TANZIA: Nimefiwa na baba yangu mzazi

    Pole sana Ndugu.....Uwe na Nguvu kipindi hiki kigumu...!! May your Father Rest in Peace
  2. B

    Picha: Askari wa Kenya akilia wakati wa kutekeleza majukumu yake ya kutulia ghasia

    Mabomu ya machozi hayawadhuru raia tu.....likitupwa ata askari km yuko karibu linamuathiri....na chupa ya maji kashika....!!
  3. B

    Nimekuwa admitted vyuo vinne niende wapi?

    Nenda .bachelor of education in science>MUCE Chuo kitakubeba huko mbele.........for my exprience
  4. B

    Ajali ya basi la wanunzi Arusha

    check my thread nimeanzisha mda huu tujadili
  5. B

    Ya Kujifunza kwa tukio la Ajali ya watoto Arusha

    Habari wana jamvi. Nimeguswa sana na kuhuzunika kwa watoto wetu kupoteza maisha kama mshumaa katika upepo. Poleni wafiwa poleni sani. Kama mzazi na huwa silalagi ninapokuwa napata taarifa kuwa mwanangu eti wameenda tour za kishule huwa naomba simu ya dereva nanapiga simu kumuasa dereva...
  6. B

    Wenyeji wa kigoma: ninahitaji msaada wenu ndio mara ya kwanza kufika hapa

    Just in Time Pub, iko near airport...kwa mpira na beer na kuku choma...pazuri kwa kelele za mpira na mabishano kidogo.....kuna ushabik.....
  7. B

    TAMASHA la XXL Dodoma lagubikwa na simanzi, umati wamyoshea mabango waziri!

    Wakazi Dodoma kutoa Mabango zenye jumbe zinazosema "FREE ROMA" wakati naibu waziri Anthony Mavunde akijibu maswali yanayohuusu ajira kwa vijana.....Kuna maswali mengi Kichwani? Kwa nini tusiamini mabango haya yameandaliwa na clouds media, maana printed bango na kutegea Naibu waziri aliposimama...
  8. B

    Maamuzi yapi sahihi ktk fumanizi? Ni lazima kufumania?

    Ni kweli, kwangu mimi mke apaswi hata kusingiziwa....mwenendo tu sina haja kujua anaemchapa.....twaachana salama salimini..maisha yenyewe nusu na robo si kujipa stress ya binadam mwenzio na akili zake
  9. B

    Clouds Tv na TCRA nani mwenye mamlaka?

    Habari wana Jamvi, Binafsi naona kuna haja ya kuangalia prorgram za Clouds TV na kama mamlaka zinazopaswa kusimamia ustawi na maadili ya watu wake wanafanya kazi zao kwa ufanisi. Mimi naona kama TCRA aina meno ya kutosha kusimamia media hizi na kuwapa onyo au karipio ambalo halitafanya wamiliki...
  10. B

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    Mimi nilkuwa sesssion two na red lebo, but nakumbuka madarasa ya commerce yalikuwa mawaili tu U na z, mengine kma R, T, M yalikuw sayansi....nakumbuka tulikuwa streams 6 za red na 6 green ndio kumbukumbu yangu. nikumbesheni wadau...!! zaman tuliokuwa wakali wa hesabu primary ndio tulkuwa...
  11. B

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    Hii Thread inaeza kutukumbusha wana Tambaza wa 80's and 90's au wanasekondary wa miaka hiyo kama Azania, Zanaki, Jangwani, hasa wakati wa mabasi ya wanafunzi, au yale ya mashirika kuja kutubeba bure, long time, let be connected... Puza akiwa form 1 mimi form III (two) 1990. Alikuja darasani...
  12. B

    Kifo cha Mwalimu Nyerere 14/10/1999, ulikuwa wapi?

    Interesting article: binafsi nilkuwa katika ajira ya serikali miaka 6 tayari,(nilianza ajira na age ya 18). Lakin siku ya tukio nilkuwa nafanyakaz part time Maili 2 dodoma kwa DR Chihoma dispensary km clinical. Nakumbuka wiki nzima kabla ya kifo kulikuwa na updates za taarifa ya hali baba wa...
  13. B

    Ambulance yaupisha msafara wa mke wa rais Kivukoni

    Well said, Priority ni misafara ya wakuu wa nchi, Rais, na 1st lady, VP, PM...... ambullance hukaa pembeni..... !! rizon ambulance inaweza kutumika vyovyote vile katika kufanya lolote linaweza kuwa hatari kwa niliotaja hapo juu..... ni sheria za kiusalama hata drivers wa ambulance wanapata...
  14. B

    Uchambuzi wa habari: CUF sio tu imefanya kosa, imefanya kosa kubwa kisiasa

    Aisee!! nilikuaminigi sana Maggid....hila kwa hili ni kosa kubwa na sio kosa kubwa tu bali ni kosa kubwa mno kitaaluma ya kushika kalamu......!! kuwa pro kundi fulani. CUF awaitaji mtu ambae si mwanachama wao kuwa wamekosea. ....na wanajua na taratibu zao. .....Lipumba anaweza kuachana na Cuf...
  15. B

    Blood groups vs Mimba

    hii aina tatizo....kuhusu kujamiana ni sawa....kuhusu mimba kuharibika nafikir wataalam wako humu watakuja tu kutoa ufafanuzi
Back
Top Bottom