Recent content by baba stive

  1. baba stive

    Kuoa au kuolewa mapema kwa kijana

    hapo kwene sura vijana tunafeli
  2. baba stive

    Pesa za majini

    Elimu hii unaweza ipata kwa watoa semina za kujiendeleza kiuchumi lkn ukijitos vzr unaweza isoma kwene mtanda na semina mbalimbali YOUTUBE
  3. baba stive

    Pesa za majini

    Kumekuwa na watu wenye bahati ya kupata pesa nyigi sana kwa wakati mmoja kwa mfano pesa za migodini kwenye madini, pesa za kuokota, mirathi, pesa za zawadi, pesa za kilimo cha mazao ya biashara (pamba, tumbaku nk), pesa za warina asali, pesa za wachana mbao, pesa za kiinua mgongo na pesa mikopo...
  4. baba stive

    Kuoa au kuolewa mapema kwa kijana

    kama unajutia vile kulikoni
  5. baba stive

    Kuoa au kuolewa mapema kwa kijana

    hebu twambie kuna faida gan kusubili 28-30s kwa life span ya mtanzania 45 huoni ni kuandaa mayatima bure kwa taifa letu
  6. baba stive

    Kuoa au kuolewa mapema kwa kijana

    KUOA AU KUTOKUOA KWA KIJANA Kumekuwa Na mvutano mkubwa wa kimawazo kuhusu suala zima la kuoa kwa vijana hasa vijana wasomi Na vijana wanaoishi mjini Na hii imepelekea vijana wengi waliooa Na miaka 20-30 kuonekana kama watu waliokosea Raman ya maisha. Lakini katika Tamaduni zetu za kiafrika...
  7. baba stive

    Kufanya mitihani Private Candidate

    Huyo anaweza Fanya masomo hayo mawili tu awahi akasajiliwe mapema nmeona watu wanafanya hata moja
  8. baba stive

    Kufanya mitihani Private Candidate

    Ndugu zangu sidanganywe kuwa sijui mtihani ni mgumu hakuna kitu kama hicho Na ukifaulu vizuri utachaguliwa unapopataka mtu asikupe vikwazo
  9. baba stive

    Mwantumu Mahiza alistahili kuteuliwa Mkuu wa Mkoa

    Mwantumu mahiza hana lolote hao ni kati ya waliobebwa kwa kulipwa fadhira ya mambo fulan fulan hana lolote bora amempiga chini toka aje tanga hana anachofanya Na kuonesha kuwa hana lolote hakukaa hata kwene nyumba ya mkuu wa mkoa utasema huyo mtu mi simkubali kabisa
  10. baba stive

    Rais Magufuli apiga simu Clouds TV na kuwapongeza kwa kipindi cha Clouds 360

    Akikusifia jamaa hachelewi kukuumbua soon clouds wanaisoma namba
  11. baba stive

    Rai yangu kwa vijana kuhusu hotuba ya rais JPM

    RAI YANGU KWA VIJANA Juzi Mh DK J.P. MAGUFuLI baada ya kuwahutubia wakuu wa mikoa kwa kuwaasa wakajitahidi vijana hawachezi pool table Na kukaa vijiweni mida ya asubuhi bila kazi (wapie vita uzembe) lakini kumekua Na watu wanaotoa mitazamo dhaifu kupinga hoja nzito. "Kuna waliosema JPM...
Back
Top Bottom