Hapo kweye wanafunzi wa Yesu ndiyo kumethibitisha kuwa ulichoandika ni nadharia tu! Yesu alikuwa na wanafunzi 12,na Yuda alipojinyonga walibakia 11.
Any way Ukiamini na kukiri kwa kinywa chako ndivyo inavyokuwa! Kwa kila tarehe ya kuzaliwa kuna Masikini na kuna Matajiri vile vile.
Kama yafuatayo yatafanyika!
1.NEC itakuwa huru na Haki.
2.Vyombo vya ulinzi na usalama vitakaa pembeni visiingilie uchaguzi.
Zaidi ya hapo hata Vyama vya Upinzani vingekuja na mikakati gani,lazima CCM itabaki madarakani tu.
Asikudanganye mtu!
Hata wao (baadhi yao) wana makandokando yao ambayo hata Serikali inayajua! Kwa hiyo si rahisi kuitukana au kuikosoa Serikali,vinginevyo wanaweza kuumbuliwa.
Kwa hiyo iliyobaki ni wao pia kujiunga na Kipindi cha Kumwabudu na Kumsifu mheshimiwa!
Nadhani tatizo limetokea baada ya wewe kumpeleka kuristi mtihani katika shule ya Kiislam! Kule huenda amelishwa maneno na kupandikiziwa roho nyingine.
Lakini hata hivyo usimwache ni mkeo huyo.Dini siyo sababu ya kuvunja ndoa,kwani kila mtu atahukumiwa pekee yake siku ile ya mwisho.
Mrudie mkeo wako wa kwanza! Hakuna asiyekosea madamu amekuomba msamaha kwa dhati msamehe na muendelee na maisha.
Usijidanganye kuoa huyo rafiki yake,yatakukuta mengine ambayo hutarajii.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.