Recent content by Baba Samwel

  1. B

    Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

    Hizo ni fix tu za kiislam! vinginevyo tungeiona ikifanyika miskitini au kwenye mihadhara.
  2. B

    Iran na Israel ndo wanaume pekee waliobaki ulimwenguni kwa sasa

    Trump ametumia busara tu! angetaka kuamuru mashambulizi ya kulipa kisasi angeweza.
  3. B

    Somo letu: Wajua kwanini namba 13 ni namba ya mkosi? Je, umezaliwa tarehe 13?

    Hapo kweye wanafunzi wa Yesu ndiyo kumethibitisha kuwa ulichoandika ni nadharia tu! Yesu alikuwa na wanafunzi 12,na Yuda alipojinyonga walibakia 11. Any way Ukiamini na kukiri kwa kinywa chako ndivyo inavyokuwa! Kwa kila tarehe ya kuzaliwa kuna Masikini na kuna Matajiri vile vile.
  4. B

    Mheshimiwa Rais Magufuli Mei mosi hatutaki kusikia haya...

    Kama Watumishi hatukumwelewa alichosema mwaka jana Mei mosi 2018,tusitegemee mapya mwaka huu kutoka kwake!
  5. B

    Kiingereza ni majanga kwa Rais wetu

    Kajitahidi mbona? Sema tu labda anasema kwa amri kana kwamba anazungumza na wanyonge wa Tanzania.
  6. B

    Nyuma ya Pazia Seif kujiunga na ACT (Kuna kitu kinatafutwa) CCM Ikae Tayari

    Kama yafuatayo yatafanyika! 1.NEC itakuwa huru na Haki. 2.Vyombo vya ulinzi na usalama vitakaa pembeni visiingilie uchaguzi. Zaidi ya hapo hata Vyama vya Upinzani vingekuja na mikakati gani,lazima CCM itabaki madarakani tu. Asikudanganye mtu!
  7. B

    Tusiwalaumu viongozi wa dini,nao wanalinda maslahi yao na miradi yao.Walioongea Ikulu ndio hali halisi ya Dini na Siasa

    Hata wao (baadhi yao) wana makandokando yao ambayo hata Serikali inayajua! Kwa hiyo si rahisi kuitukana au kuikosoa Serikali,vinginevyo wanaweza kuumbuliwa. Kwa hiyo iliyobaki ni wao pia kujiunga na Kipindi cha Kumwabudu na Kumsifu mheshimiwa!
  8. B

    Hatma ya ndoa yangu leo usiku imekuwa hatari kwa maisha yangu

    Nadhani tatizo limetokea baada ya wewe kumpeleka kuristi mtihani katika shule ya Kiislam! Kule huenda amelishwa maneno na kupandikiziwa roho nyingine. Lakini hata hivyo usimwache ni mkeo huyo.Dini siyo sababu ya kuvunja ndoa,kwani kila mtu atahukumiwa pekee yake siku ile ya mwisho.
  9. B

    Nilimfanya kitu mbaya mgoni wangu, naweza samehe mke

    Mrudie mkeo wako wa kwanza! Hakuna asiyekosea madamu amekuomba msamaha kwa dhati msamehe na muendelee na maisha. Usijidanganye kuoa huyo rafiki yake,yatakukuta mengine ambayo hutarajii.
  10. B

    Ikulu Yahojiwa weledi wake kwenye masuala ya faragha

    Katika utawala huu hatuongozwi na sheria! Tuna kazi moja tu! Kuabudu na kusifu.
Back
Top Bottom