Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

Miujiza 40 ya mtume Muhammad (S.A.W)

13:38. Na hakika Sisi tulikwisha watuma Mitume kabla yako, na tukajaalia wawe na wake na dhuriya. Na haiwi kwa Mtume kuleta miujiza isipo kuwa kwa idhini ya Mwenyezi Mungu. Kila kipindi kina hukumu yake.
ao sisi ni kina nani ,
 
Ndio maana tunaandika TUNAUZA SIMU AINA ZOTE,TUNAUZA NGUO TOKA OMAN,TUNANYOA MITINDO YOTE..,JE UMEFAHAMU MATUMIZI YA WINGI.....HATA WEWE UKIFUNGUA BIASHARA YAKO AU HUDUMA NAAMINI HAUTAKAA USEME NAUZA CHUMVI,MCHELE NK.....ANY WAY https://en.m.wikipedia.org/wiki/WeKASOME MATUMIZI YA "WE/US"...Kisha uje ikiwa hujaelewa..Wala usiishi kwakucreamisha utajaonekana Kilaza nami sitaki kuamuni hivyo....
 
Ndio maana tunaandika TUNAUZA SIMU AINA ZOTE,TUNAUZA NGUO TOKA OMAN,TUNANYOA MITINDO YOTE..,JE UMEFAHAMU MATUMIZI YA WINGI.....HATA WEWE UKIFUNGUA BIASHARA YAKO AU HUDUMA NAAMINI HAUTAKAA USEME NAUZA CHUMVI,MCHELE NK.....ANY WAY https://en.m.wikipedia.org/wiki/WeKASOME MATUMIZI YA "WE/US"...Kisha uje ikiwa hujaelewa..Wala usiishi kwakucreamisha utajaonekana Kilaza nami sitaki kuamuni hivyo....
BADO SIJASHAWSHIKA NAMAELEZO YAKO, KWA NN MUNGU WENU ASISEME BADALA YA ''Na hakika Sisi tulikwisha watuma Mitume kabla yako '' ANGESEMA ivi- na hakika nimekwisha watuma mitume kabla yako APO NDO TUNGEJUA YUPO MWENYEWE kunyume cha apo sikuelewi
 
Ndugu nimekupa link kasoma ujue matumizi ya SISI ndio uje na lungine...link ni iyo Wikipedia Kama umeshindwa kufungua niambie nikuletee hapa...au km tatizo ni tafsiri pia useme...Nakujibu kwa facts na ushahidi...Tatizo lako sio swali Bali tatizo lipo kwenye lugha hujui matumizi ya WE/US/SISI...Ukishajua matumizi ya hayo maneno hutokaa uulize Tena ilo swali
 
BADO SIJASHAWSHIKA NAMAELEZO YAKO, KWA NN MUNGU WENU ASISEME BADALA YA ''Na hakika Sisi tulikwisha watuma Mitume kabla yako '' ANGESEMA ivi- na hakika nimekwisha watuma mitume kabla yako APO NDO TUNGEJUA YUPO MWENYEWE kunyume cha apo sikuelewi
Haya iyo
Screenshot_20190701-143225.jpeg
 
Kama hajaelewa asema tumtafsirie kwa kiswahili
Hakuna maelezo ya kutosheleza kumuhusisha Mungu na wingi, Mungu sio duka , sio jumuhia ,, sio serekali sio kitu au hali yoyote ya wingi, ndo maana its better Qur'an ibaki na lugha yake ili watu wasielewe kilichopo wapewe tafsiri kila siku mpya kuondoa mkanganyiko kama hiyo ya Mungu kujiita sisi Mungu badala aseme Mimi Mungu
 
Hakuna maelezo ya kutosheleza kumuhusisha Mungu na wingi, Mungu sio duka , sio jumuhia ,, sio serekali sio kitu au hali yoyote ya wingi, ndo maana its better Qur'an ibaki na lugha yake ili watu wasielewe kilichopo wapewe tafsiri kila siku mpya kuondoa mkanganyiko kama hiyo ya Mungu kujiita sisi Mungu badala aseme Mimi Mungu
kwaheri
 
Hakuna maelezo ya kutosheleza kumuhusisha Mungu na wingi, Mungu sio duka , sio jumuhia ,, sio serekali sio kitu au hali yoyote ya wingi, ndo maana its better Qur'an ibaki na lugha yake ili watu wasielewe kilichopo wapewe tafsiri kila siku mpya kuondoa mkanganyiko kama hiyo ya Mungu kujiita sisi Mungu badala aseme Mimi Mungu
Umewakamata vizuri sana Mkuu ubarikiwe hakuna cha kujitukuza wala nini hiyo lugha iliyotumika ipo sawasawa kabisa SISI siyo mmoja huyo
 
Hizo ni fix tu za kiislam! vinginevyo tungeiona ikifanyika miskitini au kwenye mihadhara.
 
Ndugu nimesikitika kuona unasapot ujinga....Ila huenda hujui basi acha nikueleweshe huenda ukapambanukiwa....Kuhusu matumizi ya sisi haimaanishi tu wingi bali pia kujitukuza/kujikuza/kujiinua.Hapa tunamaanisha(namimi nimejitukuza) katika Quran Aya zipo wazi Zinazobainisha umoja/upweke wa mwenyezi Mungu yakwamba Hana mshirika.Kwa mwenyezi Mungu kutumia sisi bado haipingani na Aya nyingi Zinazobainisha kwamba yu wapekee na hana mwenzake.Tukiachana na Quran tukaja kwenye Lugha bado matumizi ya sisi hayamaanishi wingi tu bali pia yako na maana ya kujitukuza pia ukisoma zaidi Lugha utakuta We/Sisi pia inamaanisha genderless yaani kisichokuwa na mashiko ya jinsia.Hata katika Kiswahili Sisi haimaanishi tu wingi Bali pia kujitweza na kujitukuza mfano ndio Kama huo Tunasuka mitindo,Tunakopesha bila riba,Tuna...tuna....mwisho nimalizie kwa nukuu ya Surat Ihlas.....
Umewakamata vizuri sana Mkuu ubarikiwe hakuna cha kujitukuza wala nini hiyo lugha iliyotumika ipo sawasawa kabisa SISI siyo mmoja huyo
Mwisho niseme ikiwa mmeelewa basi Mungu ashukuriwe na ikiwa mmeelewa bado muwabishi basi Mimi sipo kubishana nanyi.
IMG_20190704_105614_985.jpeg
 
Hiyo ni suratul Qamar. Kimekaribia Kiama kwa kupasuka kwa mwezi. Unazifahamu hizi habari za kwenye hii sura?View attachment 1146839View attachment 1146842
Imekuja Aya ya kwanza katika Sura hii kuzindua kuwa watu wasikilize kwamba Kiyama kinakaribia, na watu wanahadharishwa na tukio hilo. Kisha zimekuja Aya nyengine baada yake kuweka wazi msimamo wa makafiri kwa mintarafu ya miujiza, na kushikilia kwao kukadhibisha. Na anatakiwa Mtume s.a.w. awapuuze na awangojee mpaka siku watakapo toka makaburini kama nzige walio tapanyika.
Tena baada ya hapo Aya zikawa zinafuatana, zikieleza hali namna mbali mbali za mataifa yaliyo tangulia kwa mnasaba na Mitume wao, na adhabu iliyo washukia. Na baina ya kila kisa na kingine inazindua mawazo ya kwamba Qur'ani tukufu imefanywa nyepesi kwa mwenye kutaka kuwaidhika na kuzingatia.
Mwishoe inabainisha kwamba hao makafiri wa Makka si watu wenye nguvu zaidi au wakali zaidi kushinda mataifa yaliyo kwisha tangulia, na kwamba wao si wenye kuiepuka adhabu. Tena Sura ikakhitimisha kwa kuwahadharisha wanao kadhibisha wenye inda kuwa mwisho wao watakuja tumbukizwa Motoni kifudifudi, na wataambiwa: Onjeni mguso wa Jahannamu mliyo kuwa mkiikadhibisha. Na inawatuza wachamngu katika maskani zao za Mabustanini na mito, katika makao mazuri kwa Mfalme Mwenye uweza.
 
Niambie sababu ya kushuka aya ya 1 mpaka ya 3 ni nini?
Imekuja Aya ya kwanza katika Sura hii kuzindua kuwa watu wasikilize kwamba Kiyama kinakaribia, na watu wanahadharishwa na tukio hilo. Kisha zimekuja Aya nyengine baada yake kuweka wazi msimamo wa makafiri kwa mintarafu ya miujiza, na kushikilia kwao kukadhibisha. Na anatakiwa Mtume s.a.w. awapuuze na awangojee mpaka siku watakapo toka makaburini kama nzige walio tapanyika.
Tena baada ya hapo Aya zikawa zinafuatana, zikieleza hali namna mbali mbali za mataifa yaliyo tangulia kwa mnasaba na Mitume wao, na adhabu iliyo washukia. Na baina ya kila kisa na kingine inazindua mawazo ya kwamba Qur'ani tukufu imefanywa nyepesi kwa mwenye kutaka kuwaidhika na kuzingatia.
Mwishoe inabainisha kwamba hao makafiri wa Makka si watu wenye nguvu zaidi au wakali zaidi kushinda mataifa yaliyo kwisha tangulia, na kwamba wao si wenye kuiepuka adhabu. Tena Sura ikakhitimisha kwa kuwahadharisha wanao kadhibisha wenye inda kuwa mwisho wao watakuja tumbukizwa Motoni kifudifudi, na wataambiwa: Onjeni mguso wa Jahannamu mliyo kuwa mkiikadhibisha. Na inawatuza wachamngu katika maskani zao za Mabustanini na mito, katika makao mazuri kwa Mfalme Mwenye uweza.
 
Back
Top Bottom