Recent content by Baba Nla

  1. Baba Nla

    Ni wimbo gani kwa sasa unaweza kuusikiliza kwa masaa hata 7 non-stop

    Nyimbo zoote za Fally Ipupa Ntisa Eagle Kuanzia Mayday, SL, MH, Marlene, Maria PM na zoote yani
  2. Baba Nla

    Alienishauri kufungua biashara ya video production ameniingiza chaka

    Kwahiyo wewe ulitaka biashara gani mkuu.. Maana kiufundi hakuna biashara ambayo utaanza na itaanza kukupa faida hapo hapo. Lakini nikupongeze sababu ushaingia na unajionea mwenyewe na unajiongeza mwenyewe humo humo ndani ya game.
  3. Baba Nla

    Makanisa nendeni mkasaidie wagonjwa wa cancer ocean road

    Wao bize kuchangisha hela ya kununua maspika
  4. Baba Nla

    Biashara haramu ya dhahabu inavyoikosesha serikali mabilioni ya shilingi

    Wao wanazipiga trillion huko serikali kuu, ila pesa ndogo ya raia wanaohenya machimboni bado wanaitaka. 🥲
  5. Baba Nla

    Hili la kuwaajiri graduate wa miaKa hii na kuwaacha wa miaKa ya nyuma sana limekaaje?

    Habari, Hujambo mwanangu? Nitatuma wasaidizi wangu waje kuchukua vyeti vyako nawe ulambe asali pale utumishi.
  6. Baba Nla

    Nimethibitisha: ukimuomba Mungu jambo lolote atakupa – ukitimiza vigezo na masharti haya

    Mambo ni mengi kumbe.. Ndo maana wengi wanachagua kukanyaga mafuta.
  7. Baba Nla

    Serikali ipige marufuku wahandisi hasa local kutumia mbao kwenye kushikilia zege na watumie chuma kama afanyavyo estim

    Gharama za ujenzi kwa sasa ziko juu, ukisema kila engineer atumie advanced tools basi miradi ya serikali itazidi kushtua watu kila thamani ya mradi ikitajwa.
  8. Baba Nla

    Kati ya Manyoni, Mpanda na Morogoro (Ifakara, Mvomero na Gairo) ipi sehemu ya kutoboa kimaisha?

    Mpanda hapana aisee, pamepoa Heri morogoro, Ukizingatia ni eneo lenye mvua nyingi magonjwa pia yanakuwepo sana ko utapiga hela kwenye kuuza dawa Pia kilimo kinakubali ingawa ukilima kama wenyeji unaweza kuwa maskini
  9. Baba Nla

    Mwenye genge kama hili anaweza akawa na ana kipato kizuri kuliko watumishi wengi wa umma

    Biashara zote ni nzuri, Zina faida nzuri, Ukisimuliwa. Ingia sasa 😀🙌🙌
  10. Baba Nla

    Ajira Serikalini iwe miaka 10 tu, baada ya hapo watu wastaafishwe

    Huyu jamaa akipata ajira haya mawazo atayafuta 😀😀
  11. Baba Nla

    Hiki chombo cha usafiri kinaninyima utulivu

    Huko hawawezi iba, kuwa makini tu
Back
Top Bottom