Zipo sababu nyingi zinapelekea upasuaji kwa wajawazito iwe kama huduma ya kwanza.
1. mabadiliko ya kimfumo wa maisha inayopeleka wajawazito kuishi maisha "legelege" hivyo kutokua na nguvu za kutosha kusukuma mtoto
2. serikali ineweka presha kubwa sana kwa wakunga na madakrari kiasi cha kuua...
Ila tuwekane sawa
Njia (cervix) huwa inakua imefunga hadi uchungu uanze ndipo inafunguka kuruhusu mtoto kutoka,
Suala la kusema sex inafungua njia labda kama kuna njia zingine.
Yani ukilima mahindi halafu ukawa huna hela mahindi ndo yatakutambulisha
Picha linaanza yanakua hayarefuki haraka sababu hamna mbolea
Then yanaanza kuwa ya njano
Af yanakua weak hivi af mafupi
Majani yanakuja kwa kasi kumaliza mchezo
Ukienda shambani unatamani uwe kipofu😂
Cha kuongeza
Mbarali pamoja na maeneo ya jirani ya hifadhi yanakumbwa na sekeseke la mipaka ya hifadhi hivyo kwa wawekezaji kuweni makini msije uziwa maeneo yaliyo ndani ya mpaka wa hifadhi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.