Recent content by Baba Nla

  1. Baba Nla

    Baadhi ya Features za kuzingatia utakavyopanga kununua gari lako lijalo

    Ni sawa ununue home theatre au soundbar ambayo haina Bluetooth. Kwa miaka hii unakua unazingua
  2. Baba Nla

    Upasuaji kwa wajawazito imekuwa kama lazima, ni kero kubwa

    Zipo sababu nyingi zinapelekea upasuaji kwa wajawazito iwe kama huduma ya kwanza. 1. mabadiliko ya kimfumo wa maisha inayopeleka wajawazito kuishi maisha "legelege" hivyo kutokua na nguvu za kutosha kusukuma mtoto 2. serikali ineweka presha kubwa sana kwa wakunga na madakrari kiasi cha kuua...
  3. Baba Nla

    Tuoneshe asili/maana ya ID yako kwa video au picha, ya kwangu ni hii

    Baba Nla Ni baba ake na nla Yani nla ni mwanangu I love you Nla all the way from Gauteng ZA 🇿🇦🤗
  4. Baba Nla

    Nilikuwa naliona jambo la ajabu ila Sasa hivi naona kawaida

    Kila kitu kawaida tu.. Sijui visimu simu Vigari Sijui ndoa Sijui Vinyumba Its just normal
  5. Baba Nla

    Ushauri bora kwa walio kwenye mahusiano

    Ilo wo wo wo la huyo dada limefuta yote uliyonielekeza🥲
  6. Baba Nla

    Kikosi Cha mizinga cha (wawami)

    Tuma na yakutolea Pumbaf😄😂
  7. Baba Nla

    Nimepokea simu na email ambazo zinanipa wasiwasi na hofu

    Utaskia tuma hela ya nauli 😂😂🚀
  8. Baba Nla

    Inachukua muda gani hadi njia ya uzazi kufunguka?

    Ila tuwekane sawa Njia (cervix) huwa inakua imefunga hadi uchungu uanze ndipo inafunguka kuruhusu mtoto kutoka, Suala la kusema sex inafungua njia labda kama kuna njia zingine.
  9. Baba Nla

    Inachukua muda gani hadi njia ya uzazi kufunguka?

    Ishu ya uzazi ni complicated kidogo Nashauri kuwa mpole, jipe muda na uwe na imani na wakunga, Atajifungua tu
  10. Baba Nla

    Nifatilie toka shambani kilimo cha mahindi, maharage na alizeti hatua kwa hatua

    Yani ukilima mahindi halafu ukawa huna hela mahindi ndo yatakutambulisha Picha linaanza yanakua hayarefuki haraka sababu hamna mbolea Then yanaanza kuwa ya njano Af yanakua weak hivi af mafupi Majani yanakuja kwa kasi kumaliza mchezo Ukienda shambani unatamani uwe kipofu😂
  11. Baba Nla

    Mchungaji Mgogo "Ukiona Mwanaume Hachepuki Basi ujue kuna Mawili"

    Naunga mkono hoja Yani kama mimi nimetulizana kisa sina hela tu Nikizipata.......... 😁😁
  12. Baba Nla

    Kama unajitafuta, nenda kaishi wilaya ya Mbarali

    Cha kuongeza Mbarali pamoja na maeneo ya jirani ya hifadhi yanakumbwa na sekeseke la mipaka ya hifadhi hivyo kwa wawekezaji kuweni makini msije uziwa maeneo yaliyo ndani ya mpaka wa hifadhi.
  13. Baba Nla

    Kama unajitafuta, nenda kaishi wilaya ya Mbarali

    Inategemea na location, hela utapiga hasa msimu wa kuvuna mwezi wa 5 hadi 8.
Back
Top Bottom