Recent content by Baba Mkubwa

  1. B

    Ni sahihi kwa Mwanaume kwenda kulala ukweni?

    Kulala ni kawaida. Mfano mimi nikienda kusalimu kijijini, hupanga ratiba: usiku mmoja lazima nilale kwa wakwe. Hii ratiba hufahamika angalau miezi miwili kabla ya safari. Huu ni mwaka wa 15….ipo hivyo na itaendelea hivyo.
  2. B

    Lissu amkaba Shahidi wa Jamhuri Mahakamani, ahoji elimu yake ya 'Mafriji' kasomea wapi

    "A Bachelor's degree in Refrigeration and Air Conditioning (RAC) Technologies Engineering provides a comprehensive education in the design, installation, maintenance, and repair of climate control systems"
  3. B

    Mjamzito wa miezi 9 anaweza kusafiri?

    Anahitaji medical report. Wasiliana na airtanzania faster.
  4. B

    Jinsi ya kufika Rwanda na taratibu zake

    Wapi ambako hakuna Intelligence?
  5. B

    Jinsi ya kufika Rwanda na taratibu zake

    Karibu sana Jijini Kigali, beautiful city in Africa. 1. Usafiri kwa ndege? Rwandair ni moja kwa moja hadi huku. Kuna KQ na Ethiopia airways - hizi unapitia kwao kwanza then Kigali. Bus: unaenda hadi Rusumo. Pale utapanda gari za kuja Kigali. Nauli: angaia online 2. Accommodation: kuanzia...
  6. B

    Serikali imewasimamisha kazi wasimamizi wa Mizani kutoka Tunduma, mkoani Songwe hadi Vigwaza

    Endapo kama tutaweza kuwa na Automation itakuwa nzuri sana.
  7. B

    Ni chakula gani watu wanakipenda lakini wewe hujawahi kukielewa kabisa?

    Kuna chakula kinaitwa INJERA, ni Ethiopian cuisine.....Kile chakula, HAPANA
  8. B

    Mstari gani wa BIBLIA umegusa maisha yako?

    Whoever Is Not Against Us Is for Us Mark 9:40
  9. B

    Nimeitwa Interview shirika la Nestle Global nchini Ghana

    Hutegemeana unafanya kazi gani na kampuni/taasisi/NGO ipi…. All the best mkuu
  10. B

    Nimeitwa Interview shirika la Nestle Global nchini Ghana

    Kupo vizuri tu…nimekuwepo Accra na Kumasi. Sijawai pata matatizo yoyote yale. Muhimu zingatia comments za wadau hapo juu, ushauri wao ni muhimu sana.
  11. B

    Nimeitwa Interview shirika la Nestle Global nchini Ghana

    Ukitaka kwenda Nigeria utahitaji VISA. Kwa Ghana, unajiondokea zako Tanzania na kuelekea huko….ukifika airport utaulizwa maswali kama utakaa siku ngapi, lengo la safari, jina la hotel, yellow fever certificate iko wapi….nauli yako tu mkuu.
Back
Top Bottom