Jinsi ya kufika Rwanda na taratibu zake

Jinsi ya kufika Rwanda na taratibu zake

CHRC

Senior Member
Joined
Aug 2, 2011
Posts
172
Reaction score
227
Wakuu salama.

Week end ndo imeanza.

Nina ndoto ya kwenda Rwanda,natamani kutembelea makumbusho ya mauaji ya mwaka 1994 pamoja na vivutio vingine. Mwenye uzoefu naomba anijuze kuhusu gharama za kule ie nauli, malazi nk

Natanguliza shukrani. Muwe na week end njema
 
Rwanda ni mkoa wetu sema tu CCM hawataki kulifikiri hili
 
Wakuu salama.
Week end ndo imeanza.
Nina ndoto ya kwenda Rwanda,natamani kutembelea makumbusho ya mauaji ya mwaka 1994 pamoja na vivutio vingine. Mwenye uzoefu naomba anijuze kuhusu gharama za kule ie nauli, malazi nk


Natanguliza shukrani. Muwe na week end njema
Karibu sana Jijini Kigali, beautiful city in Africa.
1. Usafiri kwa ndege? Rwandair ni moja kwa moja hadi huku. Kuna KQ na Ethiopia airways - hizi unapitia kwao kwanza then Kigali.
Bus: unaenda hadi Rusumo. Pale utapanda gari za kuja Kigali.

Nauli: angaia online

2. Accommodation: kuanzia dollars kama 30 hadi 400
3. Chakula: kuanzia dollars kama 3 na kuendelea
 
usiache kutembea na passport yako wakati wote ukiwa rwanda na ukitaka kuenjoy tafuta bodaboda mmoja atakupeleka maeneo mengi kwa gharama nafuu.
 
Karibu sana Jijini Kigali, beautiful city in Africa.
1. Usafiri kwa ndege? Rwandair ni moja kwa moja hadi huku. Kuna KQ na Ethiopia airways - hizi unapitia kwao kwanza then Kigali.
Bus: unaenda hadi Rusumo. Pale utapanda gari za kuja Kigali.

Nauli: angaia online

2. Accommodation: kuanzia dollars kama 30 hadi 400
3. Chakula: kuanzia dollars kama 3 na kuendelea
shukrani mkuu
 
Bro wasikukatishe tamaa watu wa humu jf mimi nilikua rwanda mwaka jana mwezi wa 12 nimekaa kule wiki mbili nilifikia pale kigali serena hotel maana nilienda kikazi mimi ni staff wa serena hotel hapa dar so najua viti vingi sana kuhusu rwanda na nilizurura sana so kama uko serious unataka kwenda just check on me nitakupa A to Z kuhusu rwanda nauli sio kubwa sana maana mimi nilipanda katarama from dar to lusaunga nauli ilikua shilingi 80k pesa ya tanzania then nilivyofika lusaunga nikashuka nikachukua basi lingine eicher kutoka lusaunga hadi rusumo boda nauli ilikua 14000 kama sijakosea baada ya hapo nilivyofika rusumo boda nikavuka upande wa pili nikachukua basi kutoka hapo boda hadi kigali nauli ilikua shilingi 5000 ya rwanda ambayo kwa huku tanzania ni sawa na shilingi kama 10000 ya bongo maana rate ilikua ni 0.51,na kuhusu accomodation inategemea na mazingira unayoenda ila sio bei sana ingawa kiuhalisia gharama za maisha rwanda iko juu sana bro kwa maelezo zaidi waweza nicheki kwa simu namba 0716647360 na bado niko nararajia kwenda huko mwezi wa saba bro
 
Kikubwa kule usalama ni asilimia 100 hakuna mambo ya kukabana wala wizi kama bongo pia Kuna watoto waziri mno alafu pia jamaa kwa usafi sidhani kama kuna mji wamefikia kigali aisee changamoto kubwa ni vyakula vya kula jamaa hawajui kabisa kupika vizuri kwakweli
 
Bro wasikukatishe tamaa watu wa humu jf mimi nilikua rwanda mwaka jana mwezi wa 12 nimekaa kule wiki mbili nilifikia pale kigali serena hotel maana nilienda kikazi mimi ni staff wa serena hotel hapa dar so najua viti vingi sana kuhusu rwanda na nilizurura sana so kama uko serious unataka kwenda just check on me nitakupa A to Z kuhusu rwanda nauli sio kubwa sana maana mimi nilipanda katarama from dar to lusaunga nauli ilikua shilingi 80k pesa ya tanzania then nilivyofika lusaunga nikashuka nikachukua basi lingine eicher kutoka lusaunga hadi rusumo boda nauli ilikua 14000 kama sijakosea baada ya hapo nilivyofika rusumo boda nikavuka upande wa pili nikachukua basi kutoka hapo boda hadi kigali nauli ilikua shilingi 5000 ya rwanda ambayo kwa huku tanzania ni sawa na shilingi kama 10000 ya bongo maana rate ilikua ni 0.51,na kuhusu accomodation inategemea na mazingira unayoenda ila sio bei sana ingawa kiuhalisia gharama za maisha rwanda iko juu sana bro kwa maelezo zaidi waweza nicheki kwa simu namba 0716647360 na bado niko nararajia kwenda huko mwezi wa saba bro
poapoa mkuu!nimechukua number yako!nikiwa tayari nitakucheki kamanda
 
Kikubwa kule usalama ni asilimia 100 hakuna mambo ya kukabana wala wizi kama bongo pia Kuna watoto waziri mno alafu pia jamaa kwa usafi sidhani kama kuna mji wamefikia kigali aisee changamoto kubwa ni vyakula vya kula jamaa hawajui kabisa kupika vizuri kwakweli
aiseee!shukrani wa hints
 
Back
Top Bottom