Hili ni janga ni jukumu LA kila mmoja kuangalia ni kitu gani amemkoseaa muumba Na kumuomba msamaha juu ya hill mungu atatufanyia wepesi.
TUMUOMBE MSAMAHA MWENYEZIMUNGU
Ulemavu sio tatizo kwa kiumbe hao ni majaaliwa ya muumba.yeye aumba atakavyo .kuwepo kwa walemavu ni mtihani waja wanapewa ,cha msingi sisi tulio wazima tuwapende walemavu,tuwahurumie pia tuwenao karibu kujua matatizo yao.wewe baba mzazi Wa Mtoto unamfanyia unyama huo wengine watafanyeje ?.ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.