Anatafuta style mpya ya pushapu labda kwa kuwa na yeye anapenda mabadiliko anaweza akaja na style ya kubeba dunia maana hyo kidogo itamchukua kama wk moja hv maana bila mazoez ya kutosha haupig ovyo ovyo majukwaani
Inasemakana toka kampeni zianze Lowasa ametukanwa kwenye majukwaa ya ccm mara 121 kama na hilo limetokea litakuwa la 122 ambalo litakuwa limetimiza wastani wa matusi zaidi ya 5 kila siku POLE SANA LOWASSA
Kodi ya mfanyakazi itapandishwa ambayo atailipa milele kuliko mkopo anaoumaliza akaendelea na maisha yake kalenga mbali mzee huyu lakini hakutaka kumuathiri asiyepata kazi
Hivi kwanini CCM mnajifanya nchi kama ya kwenu yaani nyie ndio last sayer nchi majuzi mlisema "twaweza kuwajia nafasi nyingine lakini sio urais" sasa hivi misemo yenu eti kidumu chama tawala, na wewe unasema eti hata kama hatutaki JPM Ndiye rais wetu. Sasa mwaweza kuwa chanzo cha uvunjifu wa...
Hivi kwanini CCM mnajifanya nchi kama ya kwenu yaani nyie ndio last sayer nchi majuzi mlisema "twaweza kuwajia nafasi nyingine lakini sio urais" sasa hivi misemo yenu eti kidumu chama tawala, na wewe unasema eti hata kama hatutaki JPM Ndiye rais wetu. Sasa mwaweza kuwa chanzo cha uvunjifu wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.