youngsharo
JF-Expert Member
- Jan 8, 2015
- 2,491
- 500
Wanajukwaa,
Napenda nizungumzie kiundani kabisa juu ya hili, kuna propaganda nyingi sana mitaani kuwa Ccm bado inawafuasi wengi si kweli.
Hali ya Ccm ni tete si mijini wala vijijini, wapo watu ambao bado wanaendelea kuwa Ccm kwa sababu ya aibu, kuogopa kushambuliwa na maneno kutoka kwa Ccm wenzao endapo watatoka, na pia hata kuogopa matusi, wanapambana kimwili lakini kiroho ni wanamabadiliko.
Twende Directly kwenye point; je ni nini hatma ya Ccm endapo watashindwa Uchaguzi wa mwaka huu?
TUTEGEMEE YAFUATAYO
=CCM haitaingia madarakani kwa zaidi ya miaka 10 ijayo.
=2020 UKAWA itashinda kwa zaidi ya 70%
=Uchaguzi 2020 vyama vitakavyoshindana ni CHADEMA/CUF vs ACT,
=UKAWA itahujumiwa/itapokonywa baadhi ya vyama na CCM, na CCM itafanya muungano na vyama hivyo kutoka UKAWA ili kuongeza nguvu,
=2025 uchaguzi utakuwa kati ya UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI VS MUUNGANO UTAKAOTENGENEZWA NA CCM.
Nawasilisha Utabiri huu leo tarehe 10/10/2015 expire date 20/10/2025.
youngsharo
Napenda nizungumzie kiundani kabisa juu ya hili, kuna propaganda nyingi sana mitaani kuwa Ccm bado inawafuasi wengi si kweli.
Hali ya Ccm ni tete si mijini wala vijijini, wapo watu ambao bado wanaendelea kuwa Ccm kwa sababu ya aibu, kuogopa kushambuliwa na maneno kutoka kwa Ccm wenzao endapo watatoka, na pia hata kuogopa matusi, wanapambana kimwili lakini kiroho ni wanamabadiliko.
Twende Directly kwenye point; je ni nini hatma ya Ccm endapo watashindwa Uchaguzi wa mwaka huu?
TUTEGEMEE YAFUATAYO
=CCM haitaingia madarakani kwa zaidi ya miaka 10 ijayo.
=2020 UKAWA itashinda kwa zaidi ya 70%
=Uchaguzi 2020 vyama vitakavyoshindana ni CHADEMA/CUF vs ACT,
=UKAWA itahujumiwa/itapokonywa baadhi ya vyama na CCM, na CCM itafanya muungano na vyama hivyo kutoka UKAWA ili kuongeza nguvu,
=2025 uchaguzi utakuwa kati ya UMOJA WA KATIBA YA WANANCHI VS MUUNGANO UTAKAOTENGENEZWA NA CCM.
Nawasilisha Utabiri huu leo tarehe 10/10/2015 expire date 20/10/2025.
youngsharo
Last edited by a moderator: