Mtoa Uzi pamoja na wanajamvi tunaochangia katika Uzi huu tukumbuke kuwa jkt ni ya watanzania na ipo kwa ajir ya watanzania, ina wakufunzi wa watanzania wenye weredi wa ukufunzi.hakuna sababu ya sis kulaumu kwa maneno yanayosemwa mtaani tu.jamani kuwa mzalendo c lelemama haya mambo wanayofanyiwa...
mbona timu za mpira zikifanya zoezi amuulizi au kushangaa kwa nini zinafanya,,,?? Ndugu vita is like a game no practice U will always loose let them practice I order to be fit 4 the battle viva jwtz viva air defences
(1)gharma ya boti minimu tsh 23,000/= maximum(VIP) tsh 35,000/=
(2)room za hotel jipange kuanzia tsh 40,000-usd900
(3)tax 5000
(4) depend on ur on initative ila ni kawaida kama hotel za dar au mwanza but kuna some slight diference
ur most welcome to spice island(zanzibar yetu ni nzuri sana...
hata arnold schwarzenegger alikua anabana kalio hadharan na bado akawa governor wa california:usa: sembuse sele kujiunga na siasa acha mawazo mgandoooo:dance:
Kwanza kabisa nitoe pole kwa familia ya dr mvungi, mungu awatie wepesi katika kipindi hiki kigumu cha kuondokewa na mpendwa wenu, pili nitoe pole kwa tume ya mabadilko ya Katiba chini ya mwenyekiti jaji warioba Kwan wapepoteza mjumbe muhimu aliyekua na nia ya dhati katika kuakisha katiba mpya...
acheni kupandikiza chuki za kidini na visingizio vya udin Kwan ni waisilamu wangap wamefaulu kwa necta hiyo hiyo tangu iundwe we kama ujiwezi tafuta Sababu na co dini hata wakimweka sheikh mkuu kwenye hiyo nafasi kama mwanfunzi ni kilaza kamwe hawezi faulu,fungukaa kijana!!!!!!!!!?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.