Unajua kinacho leta shida n kwenye project kubwa unakuta makampuni makubwa ya napewa kipaumbele kulingana na connection pia brand lakn nawakat mwingne n fikra za wawekezaji .maana kuchagua auditing firm n swala la interest kwa mteja.Lakin tupo na tunafanya vzur sana japo changamoto n uhaba wa...
Auditing firm zpo nyingi sana kijana alietoka kuchukua CPA T hana uwezo wa kufungua kampun ya auditing mpaka afanye kazi chini ya kampuni ya ukaguzi wa mahesabu ilio sajiriwa na kupewa muhur na NBAA ndani ya miaka mitatu kisha kutuma sample ya report alizofanya pamoja na matokeo na maoni ya...
Hukumu imetoka bungen utovu wa nidhamu umetokea ndani ya bunge adhabu imetoka kwenye kamati ndan ya bunge n hukumu tosha kwa sheria na maadili ya kibunge.Mahakama ingekua na mamlaka endapo hukumu au kitendo kimefanyika kinyume na sheria za bunge.Ndio maana kunasheria wamejiwekea ndan ya bunge...
Sioni ubaya wao kula mbwa maana wamechukulia kama moja kati ya wanyama wengne.Ila kwa wachina idadi yao imefanya wale karibu kila kiumbe hai japo kiafya havina madhara.Nibora tunge waacha wafurahie walacho kulingana na tamaduni zao.
c...!m wapga kura wake wengi hawana elimu au uelewa wao kidemokrasia ni mdogo sana ndo maana c...!m pengine wanatumia hadi vitisho ili kuwapumbaza wapiga kura.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.