Recent content by Bab Imu

  1. B

    JamiiForums Tanzania Zitto: Nitamuunga mkono Mbowe

    Kama hujui biashara za Rostam wewe bado sana ,jua za Mengi tu
  2. B

    JamiiForums Tanzania Zitto: Nitamuunga mkono Mbowe

    Kama Wabongo wataijua haswa CUF wallah sizani kama kuna hata mmoja atae shabikia ,waulizeni wanyamwezi wenzenu waliko Pemba wakati wa uandikishaji ,washakaa zaidi ya miaka 13 hawapewi haki wanapingwa na CUF lkn wakija waarabu hata kama yule wakala wa CUF hamjui basi ile rangi yake yatosha hata...
  3. B

    JamiiForums Tanzania CV ya Prof. Sospeter Muhongo na ushawishi wake kwa wanasayansi, wahandisi na wanasiasa vijana

    Acheni ushabiki wakichaga ,majungu majungu na roho mbaya ,pale mwanamme wenu Mengi hakupewa fursa ya kufanya wizi wake kama alivyofanya NBC hadi leo chali ,ebu kueni wastarabu ndugu zangu wakichaga
  4. B

    JamiiForums Tanzania Napendekeza tumuongezee Kikwete miaka 5

    Mfumo wa uwazi ,Watanzania hatuutaki na Jk ndio style aliyotumia ,jeh uovu wwengeuonaje bila kuweka uwazi na Uhuru wa vyombo vya habari ,kipindi kilichopita mukigugumia chini chini Huwezi kunyanyua kidole.
  5. B

    JamiiForums Tanzania Ujumbe wa Mengi katika Twitter, kejeli kwa Prof. Muhongo?

    Ndo maana nampongeza mhe: Rais suala pr Muhongo kulichukulia umakini wa hali ya juu maana mabepari waliumia kuambiwa ukweli wakitaka waachiwe wakafanye jujalee zao Hongera Jk ,Angalia majungu yao ,wengine tuliumizwa Zanzibar kwa Ufisadi wa Watu tu ,na hatuna hatia Mzee.
  6. B

    JamiiForums Tanzania UVCCM:Katiba ya Z'bar iandikwe upya

    Yaani we acha tu , Na hii CCM ya Zanzibar waendelee na wao kulindana tu ,ili tujetuwachoke vurugu litawale ,Wamelifumbia macho suala la ZECO wasione hatujui kama kuna Mawaziri walikula rushwa kwenye Sakata lile na wakaenda kwa staili ya kumtongoja dk Shein na Akina Aboubakar waziri wa sheria...
  7. B

    JamiiForums Tanzania Shirika la ndege Tanzania nimeamini lipo stable

    Jamani wanahabari ,ebu litupieni jicho ZECO pale watu wa Escrow wapo na wengine ni Wabunge na Mkurugenzi wao ni ambaye alikua ni mwana board wa TANESCO hajawajibishwa na ana kashfa nyengine ya Majenereta 32 ,angalieni kwenye riport ya PAC ya Zanzibar ,na Serikali ya umoja wa kitaifa pale...
  8. B

    JamiiForums Tanzania Mengi kusomewa albadiri Dar es Salaam

    Jamani nchi inasheria kama imethibitika kwa nn mzee mengh mwenye mambo mengi asilipe tu ,
  9. B

    JamiiForums Tanzania Wahindi washikilia 90% ya uchumi wa Tanzania

    Kuzaliwa masikini sio kosa bali kufa masikini ndio kosa ,why we are poor? Tuache majungu tupigeni kazi fursa zipo tutumieni..ndugu.
  10. B

    JamiiForums Tanzania Gari la Lema lashambuliwa na UVCCM - Arusha

    Jamani enh siasa sio ugomvi angslieni sana tusitumiwe na wasakatonge
Back
Top Bottom