Inside10
JF-Expert Member
- May 20, 2011
- 33,785
- 40,569
kova na jk walisomewa kisa kuzuia maandamano ya sheikh ponda
Na Ili Dunda Hakuna Aliedhulika Na Hio Ni Mikwara Tu.
kova na jk walisomewa kisa kuzuia maandamano ya sheikh ponda
Naomba unisaidie kwa hili. Kwa nini wamiliki wa vyombo vya usafiri kama mabasi na malori hawashitakiwi wao kwa makosa ya barabarani yanayofanywa na madereva waliowaajiri kuendesha vyombo husika?
mungu ana dhuru na ndiye aliyeangamiza sodoma na gomora na gharika ya noah !
Ni mungu wa msalabani tu ndiye asiye dhuru maana yeye mwenyewe alipigwa. nyakageni
Una uhakika? Basi likipata ajali wote mmiliki na dereva wana shtakiwa katiks kudai fidia. Kosa la traffic ni la dereva na kama kuna madai yanakwenda kwa mmiliki ndio maana anakua na bima.
Kama mwenye bus hana bima anapaswa kulipa kutoka mfukoni kwake na dereva wake halipi chochote.
Hivo hivo kwa vyombo vya habari.
Hivi navyo vinatakiwa viwe na liability insurance kujikinga na madai kama haya ya libel na slander .
Kuna directors liability inaweza kuwa extended kumkava mengi na wengine.
Hivyo anawajibika kulipa fidia
Albadiri ni faraja kwa wajinga tu.
Labda mseme mtamlipua kwa suicide bomber.
Kama albadiri inafanya kazi wanisomee mimi niliyesema mungu hayupo.
ha ha ha
na kweli,,
mimi sioni ni kwa namna gani yule sanamu anaweza kumdhuru mtu
kova na jk walisomewa kisa kuzuia maandamano ya sheikh ponda
Wakusomee albadili kwa kosa gani ulilofanya? Kwani siku ukisema kuwa makanyaga hayupo, kusema kwako huko kutamfanya makanyaga asiwepo kweli? Unajiuhumu pasipo kuwa na kosa,...., interesting!
hivi Allah ni tofauti na Baali. mungu wa kubuniwa ? sababu Allah wa waislam ni version mpya ya Allah wa Makuraish baada ya kumkarabati kwa kuwaondoa wasaidizi zaidi ya 360 kumwondolea mabinti.zake watatu na kumnyang'anya Mungu mke Almanat.
Hivyo ALLAH mkarabatiwa hana mwana kwa kuwa hana mke na hana wasaidizi pia.
mujuha mnajiaminisha nafsi zenu kwamba huyo ni Allah muumba.kweli ninyi ni wa kupimwa akili...