Recent content by BA AURA

  1. B

    JamiiForums Tanzania FT: Argentina 3-2 Cape Verde | World Cup 2026 | Hard Rock Stadium | 4 Julai, 2026 | 7:00 Usiku

    Double chance Ila cape verde imeshaheshimika duniani
  2. B

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026: Hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali

    Hawa cape verde!!!!
  3. B

    JamiiForums Tanzania FT: Yanga 3-0 JKT Tanzania | Ligi Kuu NBC | 30.06.2026 Yanga Bingwa kwa mara 5 mfululizo

    Yanga wamebeba tena ubingwa wa ligi kuu ya NBC kwa mara 5 mfululizo Ambapo msimu huu wa 2025/ 2026 ilionekana kama kutobeba ubingwa huu lakini wameonyesha ubabe wao tena ##### Vinara wa ligi kuu bara au mabingwa wa kihistoria wa ligi kuu ya Tanzania bara Young African sport club Leo watakuwa...
  4. B

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa members wenye chuki zisizo na msingi kuhusuya Id yangu!

    Duu inasikitisha Ila pole sana
  5. B

    JamiiForums Tanzania Takwimu za Allan okello vs Fei Toto zinaleta sintofahamu

    Fei Toto ameanza mwanzoni mwa msimu wa ligi Ila Allan okello ameanza katikati ya ligi but ana magoli 14 huku Toto akiwa na magoli 15 kwa mifano hai Nani bora kati ya hao
  6. B

    JamiiForums Tanzania Uzi wa walemavu wanaotafuta MKE au mme

    Umenena ukweli mkuu
  7. B

    JamiiForums Tanzania Uzi wa walemavu wanaotafuta MKE au mme

  8. B

    JamiiForums Tanzania Uzi wa walemavu wanaotafuta MKE au mme

    Habari wakuu , kwa wake wenzangu na Mimi wenye ulemavu wa aina yoyote iwe hearing problem , bubu ,albino nk Basi karibuni mtafute wenza hapa maana huwa tunajiona wanyonge au kujikatia tamaa hasa kwenye suala la ndoa , mode naomba huu uzi usiunganishwe na zingine
  9. B

    JamiiForums Tanzania Nimeoa mke mlokole ila sikushauri uoe mlokole

    Duu nilipigwa kwenye money Ila nikazinduka japo nilichelewa
  10. B

    JamiiForums Tanzania Kuunganisha ligi ya Zanzibar na Tanzania bara

    Kweli Kama watu wa michezo hasa football hili Jambo la kuunganisha ligi mbili haliingii kichwani kabisa!! Au ndo mkakati wa kuwapoteza wananchi kwenye October 29? Ikimbukwe ligi kuu bara Ina udhamini wake na Zanzibar pia Enyi wabunge mnataka kuingiza siasa kwenye michezo kwa kuficha maovu yenu...
  11. B

    JamiiForums Tanzania Nimeoa mke mlokole ila sikushauri uoe mlokole

    Wakuu habari , mi nimeoa mke mlokole Ila changamoto nazopitia no balaa tupu, mke anshinda church kuaanzia asubuhi Hadi jioni *Anarudi hapiki anasema alikuwa na kazi kwa mchungaji *Ukiomba game anasema amechoka Yapo mengi kweli mpaka niamua nihame nyumba na kumuacha yeye aendelee na Mambo yake
  12. B

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026: Hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali

    German inamwacha wapi bila kumsahau Sweden?
  13. B

    JamiiForums Tanzania Kombe la Dunia 2026: Hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali

    Habari wakuu, hii michuano ya kombe la dunia hakuna timu kutoka Afrika itakayoingia robo au nusu fainali. Hawa Morocco wameotea tu ila kiama cha timu za Afrika chaja round 2. Nipo Pape mwanaa asipulika!!!
Back
Top Bottom