Klabu ya Aston Villa imemsajili nahodha wa Taifa Stars Mbwana Samatta kwa mkataba wa miaka 4 na nusu akitokea klabu ya KRC Genk ya Ubelgiji.
Official Mbwana Ally Samatta ni mchezaji wa Aston Villa baada ya kukamilisha usajili akitokea KRC Genk ambao ni mabingwa wa Belgium.
Misimu mitatu na...
Wewe ndio una udini, maana akili yako inawaza upumbavu muda wote! Hujui hata maana ya maudhui ya tamthilia hizo tajwa, halafu kwani umelazimishwa? Kuna TV km Emanuel TV huzioni?
Umepotoka sana, km unaona vibaya Mungu kuabudiwa na kutukuzwa kwa takribani nusu saa tuu ktk siku saba za wiki na huku yeye ndie aliekuumba ww, ardhi na kila kilichomo na neema zake nyingi kwako hata umeweza kuwa na kasmartphone unakotumia kuonyesha eti unakerwa muumba kuabudiwa na kutukuzwa ktk...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.