kinjekitile70
JF-Expert Member
- Oct 11, 2017
- 1,072
- 1,421
Basi la kampuni ya Abood limegongana na lori
Liko ninateketea kwa moto
Taarifa zaidi tutwapa update
====
AJALI Yaua SINGIDA, BASI LAGONGANA na LORI la MAFUTA Basi la kampuni ya Abood linalofanya safari zake kutoka dar kuelekea mwanza leo April 20, 2020 limepata ajali maeneo ya Ikungi Mkoani Singida kisha kuwaka Moto baada ya kugongana na Lori kama unavyojionea.
Dereva wa basi akimbia, Kondakta amethibitishwa kufariki majeruhi wako hospitali
Liko ninateketea kwa moto
Taarifa zaidi tutwapa update
====
AJALI Yaua SINGIDA, BASI LAGONGANA na LORI la MAFUTA Basi la kampuni ya Abood linalofanya safari zake kutoka dar kuelekea mwanza leo April 20, 2020 limepata ajali maeneo ya Ikungi Mkoani Singida kisha kuwaka Moto baada ya kugongana na Lori kama unavyojionea.
Dereva wa basi akimbia, Kondakta amethibitishwa kufariki majeruhi wako hospitali