Ni kweli kabisaa. Hilo eneo ni hatari mno unaweza kunasa wakati hakuna maji. Wanasema unaitwa bubu kwasababu maji yake huwa yanakuja kimya kimya tu. Hakuna daraja.
Hapana nimepita kondoa mjini nimetokea mto Bubu, seria, katesh nakuendelea. Kwa mtoro kwenye ile game reserve ya swagaswaga kuna mbung’o sana. Ukifungua tu kioo imekula kwako. Alafu barabara ina mawe makubwa sana huko kwenye game.
Ndio brother. Kuanzia Mzizima to Mutukula alafu jmos Narudi mpaka Tabora. Ila % Kubwa ya safari ni kwa njia za ndani ndani lami ni Maeoneo machache. Kwa mfano Dar to dom nimepita handeni nimetokea kilindi, kiteto, kondoa, seria, hanang mpaka Singida mjini.. mwendo ni 80km/h .
Inawezekana kutumia line iliyomo kwenye router ya Airtell kwenye smartphone? Kama inawezekana kwa settings zipi? Nimejaribu kuweka naona hailete internet, wakati ina kifurushi cha mwezi.
Ulikaa bila yeye kwa muda gani? Ni yeye ndo aliomba mrudiane? Na mm imenitoka hiii. Mdada kasema kachoka nikajibu sawa. Mwezi wq nne sasa kila mtu na mishe zake.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.