Recent content by b4theg

  1. b4theg

    JamiiForums Usiku wa manane

    0243 Singida
  2. b4theg

    JamiiForums Usiku wa manane

    Omba ushauri kwa mkeo.
  3. b4theg

    JamiiForums Usiku wa manane

    0242 Nzega Tabora
  4. b4theg

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Ni kweli kabisaa. Hilo eneo ni hatari mno unaweza kunasa wakati hakuna maji. Wanasema unaitwa bubu kwasababu maji yake huwa yanakuja kimya kimya tu. Hakuna daraja.
  5. b4theg

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Hapana nimepita kondoa mjini nimetokea mto Bubu, seria, katesh nakuendelea. Kwa mtoro kwenye ile game reserve ya swagaswaga kuna mbung’o sana. Ukifungua tu kioo imekula kwako. Alafu barabara ina mawe makubwa sana huko kwenye game.
  6. b4theg

    Wazee wa ‘Road Trip’ mpo?

    Ndio brother. Kuanzia Mzizima to Mutukula alafu jmos Narudi mpaka Tabora. Ila % Kubwa ya safari ni kwa njia za ndani ndani lami ni Maeoneo machache. Kwa mfano Dar to dom nimepita handeni nimetokea kilindi, kiteto, kondoa, seria, hanang mpaka Singida mjini.. mwendo ni 80km/h .
  7. b4theg

    Vifurushi vya intaneti 'visivyo rasmi' kwa kampuni za simu

    Inawezekana kutumia line iliyomo kwenye router ya Airtell kwenye smartphone? Kama inawezekana kwa settings zipi? Nimejaribu kuweka naona hailete internet, wakati ina kifurushi cha mwezi.
  8. b4theg

    Uchambuzi wangu Simba sc 1-1 Azam fc

    Ndo umechambua hapo?
  9. b4theg

    House4Rent Tunapangisha nyumba, Vyumba Mbezi Beach Dar es salaam

    Kodi haiendani kabisa na hali za hivyo vyumba
  10. b4theg

    Kipi kilisababisha uachane na mtu wako wa maisha?

    Ulikaa bila yeye kwa muda gani? Ni yeye ndo aliomba mrudiane? Na mm imenitoka hiii. Mdada kasema kachoka nikajibu sawa. Mwezi wq nne sasa kila mtu na mishe zake.
Back
Top Bottom