Nipo kwenye kibao cha matangazo ya mechi za Leo.
Kibao kimeandikwa
SIMBA vs MAJIMAJI
Halafu nimemkuta Mzungu na yeye anasoma tangano.
Ili kumuonyesha Mzungu kuwa hata Mimi Ki-ingilishi nakijua nimemuuliza,
"DO YOU LIKE LION or WATER WATER"
Naona Mzungu anatabasabu. Nadhani atakuwa...
Wazenji wana-sumu wakiwa kwao. Ila wakivuka tu maji kuja bara huwa wanaufyata mkia.
Nadhani thinking capacity yao inakuwa ZERO pale wanapokanyaga ardhi ya Bara.
Pole yake Kijana, nyakati hizi hazifanani na Nyakati zile.
Amepewa ushauri nini cha kufanya naomba auzingatie.
Pia naomba nimuongezee ushauri mwingine tafadhali mfikishieni na auzingatie
"ASIMUAMINI MTU YEYOTE MAHALI POPOTE NA WAKATI WOWOTE"
Kuna wakati huwa siwaelewi kabisa... viongozi wetu.
Huwa najiuliza hawa wenzetu walisomea Marekani halafu wakaletwa Tanzania kuja kutuongoza au Walisomea hapahapa Tanzania?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.