Recent content by b191

  1. b191

    Wasiposema maaskofu, Nani atawasemea Watanzania?

    Aliyeanzisha falsafa ya vijana ni taifa la kesho hakukosea.
  2. b191

    Nimepoteza hamu ya kuwa na mwanaume baada ya kukaa muda mrefu bila kuwa na mahusiano

    Hilo tatizo ni dogo sana na unaweza kupona kabisa....
  3. b191

    Kama una stress pitia hapa, usiache kutupia na wewe maneno yako

    Nipo kwenye kibao cha matangazo ya mechi za Leo. Kibao kimeandikwa SIMBA vs MAJIMAJI Halafu nimemkuta Mzungu na yeye anasoma tangano. Ili kumuonyesha Mzungu kuwa hata Mimi Ki-ingilishi nakijua nimemuuliza, "DO YOU LIKE LION or WATER WATER" Naona Mzungu anatabasabu. Nadhani atakuwa...
  4. b191

    Hali bado siyo nzuri kwa mawakala katika uchaguzi wa Kinondoni

    Figisu figisu zimeanza.
  5. b191

    Prof. Kabudi: Rais wa Jamhuri ana mamlaka ya kuwaagiza mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi (Zanzibar)

    Wazenji wana-sumu wakiwa kwao. Ila wakivuka tu maji kuja bara huwa wanaufyata mkia. Nadhani thinking capacity yao inakuwa ZERO pale wanapokanyaga ardhi ya Bara.
  6. b191

    Kinadada mpunguze kuweka limao kwenye hizo nanihii zenu

    Mmmmh... Nawahi kwanza siti.
  7. b191

    Here comes Daudi Albert Bashite

    A nation of propagandist of which Leaders always think that once they loose paraplegia they have to act like parasol.
  8. b191

    Kosa la nani?

    Camera man
  9. b191

    Ifahamu Dodoma

    Ha ha haaa.... Ulikuwa unafuata barabara kama gari. Ingia ndani ya Mtaa uone.
  10. b191

    Kijana aliyeripoti nyufa hostel za Magufuli (Kumbusho Kagine) adai amenusurika kutekwa na watu wasiojulikana

    Pole yake Kijana, nyakati hizi hazifanani na Nyakati zile. Amepewa ushauri nini cha kufanya naomba auzingatie. Pia naomba nimuongezee ushauri mwingine tafadhali mfikishieni na auzingatie "ASIMUAMINI MTU YEYOTE MAHALI POPOTE NA WAKATI WOWOTE"
  11. b191

    Kipato cha mtu mmoja mmoja kimeongezeka, tusiruhusu ujinga wa kisiasa ukadhoofisha ubora

    Kuna wakati huwa siwaelewi kabisa... viongozi wetu. Huwa najiuliza hawa wenzetu walisomea Marekani halafu wakaletwa Tanzania kuja kutuongoza au Walisomea hapahapa Tanzania?
Back
Top Bottom