Daaah so bad..... halafu nimekodoa macho weeeh nimegundua hao wote ni wanawake.... huyo mwenye suti nyeupe ni mwanamke..... ina maana hapo wanasaga unga....
Ptuuu Mungu epushia mbali.
Anyways kosa la huyo mbebwaji..... hata kama hapendi kuvaa kufuli basi angevaa gauni ambalo akibebwa hatoacha kitumbua chake wazi. Laah kama alistukizwa kubebwa hakujua kama hilo pozi litakuwepo basi angekataa kuwa usinibebe mbele badala yake nibebe mgongoni ili kufikia utamu.
Nahisi mpiga picha ni mwanaume ndo maana kaisafisha hiyo picha na nahisi alisafisha nakala nyingi tuu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.