Wasiposema maaskofu, Nani atawasemea Watanzania?

Wasiposema maaskofu, Nani atawasemea Watanzania?

Njunje

Member
Joined
Mar 23, 2018
Posts
26
Reaction score
27
Wale tunaotetea matendo ya kikatili ya watawala wetu, tunafanya hivyo kwa utashi wetu kabisa au kwa maslahi ya kukidhi haja zetu? Hivi CHADEMA, CUF, NCCR-MAGEUZI, CCM n.k ni miongoni mwa madhehebu ambayo kwayo tunaunganishwa na Mungu Baba hata ifike mahali sisi waamini wa dini zetu tuthubutu kuwakejeli viongozi wetu wa kiroho kwa maslahi ya VYAMA? Vyama nini hata tuviabudu kiasi hiki? What is CHADEMA, CUF n.k?

Bahati mbaya zaidi, vijana wa leo tusiojitambua na hata kujua kesho yetu tunageuka kuwa wasemaji wa serikali jiwe! (STONEY LED GOVERNMENT). Kama viongozi wetu wa kiroho wanakemea matendo ambayo ni kweli yanatokea na yapo, kwa nini tuseme wanachanganya dini na siasa? Ni akili gani hiyo kuhoji uhalali wa makemeo kwa kigezo cha wakemeaji kuwa viongozi wa dini?
Nadhani serikali isidhani ipo salama kwa kupata watetezi WANAFIKI wanaoukubali uongo kwa kuupinga ukweli ili kujipendekeza kujaza matumbo yao! Laana ya damu isiyo hatia kumwagika kwenye ardhi yetu itawalilia daima?
 
Aliyeanzisha falsafa ya vijana ni taifa la kesho hakukosea.
 
Kiongozi wa kidini akimsifu Magufuli kuhusu utendaji kazi wake, huyo hachanganyi dini na siasa

Bali kiongozi huyo huyo akimkosoa Magufuli kuhusu utendaji kazi wake, huyo anaitwa mchochezi na anachanganya dini na siasa!

Kwa kweli ipo haja kwa Mkuu kufanya toba....
 
Wale tunaotetea matendo ya kikatili ya watawala wetu, tunafanya hivyo kwa utashi wetu kabisa au kwa maslahi ya kukidhi haja zetu? Hivi CHADEMA, CUF, NCCR-MAGEUZI, CCM n.k ni miongoni mwa madhehebu ambayo kwayo tunaunganishwa na Mungu Baba hata ifike mahali sisi waamini wa dini zetu tuthubutu kuwakejeli viongozi wetu wa kiroho kwa maslahi ya VYAMA? Vyama nini hata tuviabudu kiasi hiki? What is CHADEMA, CUF n.k?

Bahati mbaya zaidi, vijana wa leo tusiojitambua na hata kujua kesho yetu tunageuka kuwa wasemaji wa serikali jiwe! (STONEY LED GOVERNMENT). Kama viongozi wetu wa kiroho wanakemea matendo ambayo ni kweli yanatokea na yapo, kwa nini tuseme wanachanganya dini na siasa? Ni akili gani hiyo kuhoji uhalali wa makemeo kwa kigezo cha wakemeaji kuwa viongozi wa dini?
Nadhani serikali isidhani ipo salama kwa kupata watetezi WANAFIKI wanaoukubali uongo kwa kuupinga ukweli ili kujipendekeza kujaza matumbo yao! Laana ya damu isiyo hatia kumwagika kwenye ardhi yetu itawalilia daima?
Kiongozi wa dini akiamua kua upande wa siasa kimaslahi lazima.azihakiwe tu,hakuna namna ,kingozi wa dini akilipa fedha ya serikali mishahara hewa na kukiri kurudisha pesa hizo hafai,ni mwizi kama wezi wengine ,hana credibility ya kukemea uovu,kiongozi wa dini anayetumia msamaha wa kodi kupitishia bidhaa rafiki zake ili serikali ikose kodi hafai,kiongozi wa dini muuza dawa za kulevya hafai,si kila kiongozi wa dini ni mwema,wengine ni majangili yaliojificha kwenye imani,fungua kichwa chako
 
Back
Top Bottom