Jingalao, mkurugenzi hajakurupuka, tena mi naona hakuna haja ya kuweka tume ya uchunguzi kwakuwa tatizo liko wazi. Manesi ndio kawaida yao. Sio kesi yakwanza iyo. Hata ningekuwa mimi ningefukuza na vyeti vyao kufungia kabatini.
Mi ninavyojuwa dawa za mitishamba azitolewagi bure, unatowa nauli ya kwenda shamba kuitafuta inaitwa ( chikuba nsiko) hicho kiruga kiswahili sijui nisemeje.
Wakati mwingine hospital wanatowaga majibu ambayo siyo sahii, ninaye rafikiyangu amekaa miaka saba katika ndoa bila mtoto, na amezinguka katika mahospital mengi kupata dawa na ameula dawa za kila aina, mpaka wakafikia uamuzi wa kupandikiza mbegu ikawa bila. Alikuja kunywa dawa week mbili sasa...
Mwambie aje nimpe dawa ya kienyeji kama anaweza kunywa, dozi ya week mbili, nampa 100% mwezi utakaofuata ana mimba. Kulikokujitia katika presha na majaribuni.
Mussa ulitaka wafanywe je kama atuwa yakwanza? Nyienyie malalamikia mikopo inaenda kwa wasio stahili na bado mnabeza. Watanzania kweri kichwa cha mwendawazimu.
Waterloo we ni mmoja wa watanzania ambao hawana Jema, Mahakama ilisema haina fedha za kuendesha izo kesi, Raisi kawapa pesa sasa mna taka nini? Pia amesema wahukumu inaweza kuwa + au -ve. Jamani mwacheni jamaa apige kazi.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.