Huu uzi umenipa picha halusi ya jinsi kabila langu halipendwi na watu wa nchi hii, japo kiuhalisia ni watu tunaoishi kwa upendo sana na watu wa kabila zingine.... kwa nini nimesema hivi, kuna nyuzi nyingi sana za watu kuuliwa humu ndani recently ya marehemu Milembe (r.i p)kule mkoani Geita ila...
Hii stuation ni maaad,ju uliamua kuruhusu bwana ako asex na mdogo ako,hapo ndio place uliharib hiyo doa sasa cha kufanya finally ni ww kukaa kando na kumuachia huyo mdogo ako aendelee nae ju ww hukuwa tayari kwa hiyo doa.
Na mm hii nakubali kuna mmoja huyo enzi namfahamu akiwa kwenye 20's alikuwa na uwife material akawa anafuatwa na waolewaji ila sasa akaja akakutana na kijamaa kilikuwa kihuni kikamfundisha pombe na clubbing za kila weekend baadae si akamuacha demu akawa amekolea kweny ulevi,mpk sasa ana 33yrs...
Mkuu sidhani kama ni hzo kemikali,maana kwa mwingine ambaye ni mwanamke yy ilishamtokea zaidi ya mara moja na mara ambapo mara ya kwanza nywele hazikuonekana kabisa ila mara ya pili alizikuta nywele kitandani.
Wakuu habarini za weekend!
Kuna hili tukio la watu kunyolewa nywele usiku huku usukumani simiyu, kiukweli ni kitu kinanishangaza sana hadi najiuliza huwa inakuaje binafsi nina ushahidi wa watu watatu waliofanyiwa hayo matukio,na kibaya zaidi ni hizo sehemu wanazonyolewa huwa hazioti nywele kwa...
Wa kwanza huyo ni dada mkubwa nnaemfuatia mm.,.ila huyo wa pili ni dogo kwa hiyo kwa sababu nilikuwa responsible kwake directly ndo maana wazazi walinipa baraka zote...kuhusu maisha yake ameshajifungua na yupo kwa bwan'ake anajitafuta huko
Acheni kabisa mimi kiukweli dada zangu ni moja kati ya watu wamenisababisha binti yangu nimlee kwa mapenzi yote udogoni ili akifikia umri wa kujitambua nimuwekee masharti magumu sana....dada wa kwanza alipata mtoto baada ya kumaliza form 6,mdogo ndio nikaingilia kati na kumfukuza nyumbani maana...
Hawa watu ni media tu za kina mchomvu ndio ziliwapa airtime kibongo bongo na zile hip hop mavi za kibongo fleva ila ukikaa nao ni weupe yani kwao ujanja wanajua ni kuongea kiswahili kile cha ovyo ovyo na mavurugu though kwa wale walioenda shule ni watu poa sana.
Wakuu msaada wenu..
Naupload picha, na verification documents naambiwa already exist na ndio vitu nilivyobakiza..pliz kama kuna yoyote anayeweza kunisaidia tafadhali maana nimegomea kwenye 95%
Wakuu mimi ni kijana mwenye umri wa 28yrs nimegundua nna tatizo la uume wangu kurudi ndani na kuwa kama wa mtoto, ili hali sina tatizo la nguvu za kiume,shida inaweza kuwa ni nini na tiba yake?
Natanguliza shukrani.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.