Kunyolewa nywele usiku kishirikina

Kunyolewa nywele usiku kishirikina

B.4really

Senior Member
Joined
Jan 30, 2013
Posts
199
Reaction score
89
Wakuu habarini za weekend!
Kuna hili tukio la watu kunyolewa nywele usiku huku usukumani simiyu, kiukweli ni kitu kinanishangaza sana hadi najiuliza huwa inakuaje binafsi nina ushahidi wa watu watatu waliofanyiwa hayo matukio,na kibaya zaidi ni hizo sehemu wanazonyolewa huwa hazioti nywele kwa muda mrefu. Hizi nywele huwa zinapelekwa wapi!?
 
Kama ambavyo kuna sumu au dawa haswa za anticancer zinazoweza kumfanya mtu akanyonyoka nywele zote hadi vinyusi....

Je? Haiwezekani zikawepo kemikali na dawa nyingine zinazoweza kupelekea kunyonyoka sehemu au nywele zote.?

Kemikali hizo zinaweza kuwa;
Dawa
Vipodozi
Viuatilifu vya mimea
Kemikali za kwenye migodi
Vichafuzi kwenye hewa
Vichafuzi kwenye maji, ardhi, mimea, chakula etc.
Sumu za kuhifadhia mazao
Mwitikio wa mwili usio kawaida, mzio
Etc
Shambulizi la 'free radicals'
Lishe upungufu wa madini
Magonjwa
Etc

Nadharia yangu ni zinanyonyoka na si kunyolewa ndio maana hukuti zimekatwa mahala bali unakuta peupe ni kama upara, kuanzia kwenye mizizi na ndio maana zinachelewa kuota maana muda mwingine madhara yameanzia kwenye 'hair follicles.
 
Kama ambavyo kuna sumu au dawa haswa za anticancer zinazoweza kumfanya mtu akanyinyika nywele zote hadi vinyusi....

Je? Haiwezekani zikawepo kemikali na dawa nyingine zinazoweza kupelekea kunyonyoka sehemu au nywele zote.?

Kemikali hizo zinaweza kuwa;
Dawa
Vipodozi
Viuatilifu vya mimea
Kemikali za kwenye migodi
Vichafuzi kwenye hewa
Vichafuzi kwenye maji, ardhi, mimea, chakula etc.
Sumu za kuhifadhia mazao
Mwitikio wa mwili usio kawaida, mzio
Etc
Shambulizi la 'free radicals'
Lishe upungufu wa madini
Magonjwa
Etc

Nadharia yangu ni zinanyonyoka na si kunyolewa ndio maana hukuti zimekatwa mahala bali unakuta peupe ni kama upara, kuanzia kwenye mizizi na ndio maana zinachelewa kuota maana muda mwingine madhara yameanzia kwenye 'hair follicles.
Mkuu mm ishawahi nitokea zaid ya mara 4 nanyolewa usku na alieninyoa simuon hay mambo yapo na kuna sku naamka asubuhi nimepgwa chale zaid ya 10 mwilini
 
Mkuu mm ishawahi nitokea zaid ya mara 4 nanyolewa usku na alieninyoa simuon hay mambo yapo na kuna sku naamka asubuhi nimepgwa chale zaid ya 10 mwilini
Kwenye chale hapo sina la kusema sina nadharia mbadala.

Lakini kwenye kunyolewa hivi umejaribu kuchunguza kama upo mazingira yenye vyanzo vya sumu na kemikali?
 
Wakuu habarini za weekend!
Kuna hili tukio la watu kunyolewa nywele usiku huku usukumani simiyu, kiukweli ni kitu kinanishangaza sana hadi najiuliza huwa inakuaje binafsi nina ushahidi wa watu watatu waliofanyiwa hayo matukio,na kibaya zaidi ni hizo sehemu wanazonyolewa huwa hazioti nywele kwa muda mrefu. Hizi nywele huwa zinapelekwa wapi!?
Wanampelekea mama yake Monica wa UMUGHAKA a.k.a Mkurya halisi
 
Mambo ya chale na kunyolewa ni vitisho tu,huwa hawafanyi chochote zaidi ya hapo

Furaha ya mchaw ni kuona unaishi kwa hofu
 
Hakunaga wachawi wa kunyonyoa watu nywele wala kuchanja chale watu usiku. Wabatu wasipoelewa kitu husingizia uchawi.
Au ni panya tu wanachanja watu kwa meno yao makali kama wembe? Haahaaa... uchawi upo na wanafanya hayo yote tuache hoja nyepesi nyepesi.
 
Wakuu habarini za weekend!
Kuna hili tukio la watu kunyolewa nywele usiku huku usukumani simiyu, kiukweli ni kitu kinanishangaza sana hadi najiuliza huwa inakuaje binafsi nina ushahidi wa watu watatu waliofanyiwa hayo matukio,na kibaya zaidi ni hizo sehemu wanazonyolewa huwa hazioti nywele kwa muda mrefu. Hizi nywele huwa zinapelekwa wapi!?
Bila picha Uzi ni Batili
 
Au ni panya tu wanachanja watu kwa meno yao makali kama wembe? Haahaaa... uchawi upo na wanafanya hayo yote tuache hoja nyepesi nyepesi.
Hakuna wachawi wanaochanja na kunyoa watu nywele. Ujinga ndiyo hufanya watu kuamini hivyo.
 
Wakuu habarini za weekend!
Kuna hili tukio la watu kunyolewa nywele usiku huku usukumani simiyu, kiukweli ni kitu kinanishangaza sana hadi najiuliza huwa inakuaje binafsi nina ushahidi wa watu watatu waliofanyiwa hayo matukio,na kibaya zaidi ni hizo sehemu wanazonyolewa huwa hazioti nywele kwa muda mrefu. Hizi nywele huwa zinapelekwa wapi!?

Ukinyolewa ndio ushafanywa kafara inayoishi. Kuna mahala hizo nywele zimeenda kutumika na kwa maana nyingini aliyenyolewa kuna sehemu anatumika kiroho

Luka 12: 7
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi, bora ninyi kuliko mashomoro wengi.

Mambo ya Walawi 19:27
Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu.
 
Kama ambavyo kuna sumu au dawa haswa za anticancer zinazoweza kumfanya mtu akanyonyoka nywele zote hadi vinyusi....

Je? Haiwezekani zikawepo kemikali na dawa nyingine zinazoweza kupelekea kunyonyoka sehemu au nywele zote.?

Kemikali hizo zinaweza kuwa;
Dawa
Vipodozi
Viuatilifu vya mimea
Kemikali za kwenye migodi
Vichafuzi kwenye hewa
Vichafuzi kwenye maji, ardhi, mimea, chakula etc.
Sumu za kuhifadhia mazao
Mwitikio wa mwili usio kawaida, mzio
Etc
Shambulizi la 'free radicals'
Lishe upungufu wa madini
Magonjwa
Etc

Nadharia yangu ni zinanyonyoka na si kunyolewa ndio maana hukuti zimekatwa mahala bali unakuta peupe ni kama upara, kuanzia kwenye mizizi na ndio maana zinachelewa kuota maana muda mwingine madhara yameanzia kwenye 'hair follicles.
Mkuu sidhani kama ni hzo kemikali,maana kwa mwingine ambaye ni mwanamke yy ilishamtokea zaidi ya mara moja na mara ambapo mara ya kwanza nywele hazikuonekana kabisa ila mara ya pili alizikuta nywele kitandani.
 
Hakuna wachawi wanaochanja na kunyoa watu nywele. Ujinga ndiyo hufanya watu kuamini hivyo.
Nimechunguza visa vingi vya watu, unaweza fikiri ni panya au mikwaruzo inayotokana na kazi, lakini chale hizo zinaonekana kuwa systematic, unakuta mtu amechanjwa chale 3 mkono wa kulia na 3 mkono wa kushoto, hivyo hivyo miguuni. Hapa lazima ujiulize yawezaje kutokea hilo? Mwingine amenyolewa sehemu 3 kichwani, mbele katikati na kisogoni, unasemaje?
 
Kama ambavyo kuna sumu au dawa haswa za anticancer zinazoweza kumfanya mtu akanyonyoka nywele zote hadi vinyusi....

Je? Haiwezekani zikawepo kemikali na dawa nyingine zinazoweza kupelekea kunyonyoka sehemu au nywele zote.?

Kemikali hizo zinaweza kuwa;
Dawa
Vipodozi
Viuatilifu vya mimea
Kemikali za kwenye migodi
Vichafuzi kwenye hewa
Vichafuzi kwenye maji, ardhi, mimea, chakula etc.
Sumu za kuhifadhia mazao
Mwitikio wa mwili usio kawaida, mzio
Etc
Shambulizi la 'free radicals'
Lishe upungufu wa madini
Magonjwa
Etc

Nadharia yangu ni zinanyonyoka na si kunyolewa ndio maana hukuti zimekatwa mahala bali unakuta peupe ni kama upara, kuanzia kwenye mizizi na ndio maana zinachelewa kuota maana muda mwingine madhara yameanzia kwenye 'hair follicles.
acha kupotosha watu, ukikua ndio utafahamu mleta mada ana maana gani ngoja leo tuje kukunyoa halafu sema ni vipodozi.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Ukinyolewa ndio ushafanywa kafara inayoishi. Kuna mahala hizo nywele zimeenda kutumika na kwa maana nyingini aliyenyolewa kuna sehemu anatumika kiroho

Luka 12: 7
Lakini hata nywele za vichwa vyenu zimehesabiwa zote. Msiogope basi, bora ninyi kuliko mashomoro wengi.

Mambo ya Walawi 19:27
Msinyoe denge pembe za vichwani, wala msiharibu pembe za ndevu zenu.
Duh[emoji849]
 
Back
Top Bottom