Mimi siyo daktari lakini unahitaji zaidi tiba lishe na madini ya zinc kwa wingi yanapatikana kwenye samaki.
Halafu acha kuvaa chupi za kubana dushe, vaa boxer dushe liwe free, angalia wamasai hata chupi hawavai dushe linakuwa free na kupata ukuwaji unaostahili.
Halafu kama una mwili mkubwa punguza mwili huo mafuta mengi, fanya mazoezi, hakuna maajabu tatizo kubwa ni life style zetu.
Ngoja waje madaktari kama zipo sababu za kisayansi watakwambia ila siyo shida kubwa hiyo kwa sasa, ni tiba lishe tu.