Nilimnunulia dada yangu flani hivi INFINIX SPARK 5 baada ya mwezi tena nilienda kununua simu ya OPPO A15.Chukua oppo hutojutia mkuu, mi natumia oppo F7 mwaka wa tatu huu haijawai nisumbua kwa lolote mpaka sasa hivi
Achukue hiyo infinix pamoja na hizo specs zake aone kama atamaliza nayo mwaka bila kuanza lawama.Tuzilinganishe kwa kuangalia factors 5 za muhimu (5 pillars):
1. Display
Zote ni IPS LCD Displays ila Infinix ni ng'avu zaidi kwasababu ina ppi density ya 380 wakati Oppo 270 tu.
Pia Oppo ni HD 720p inch 6.5 wakati Infinix ni 1080p fHD inch 6.9 ukubwa.
Hapa Mshindi Infinix.
2. Chipset na OS.
Zote zinatumia midrangers chipsets Mediatek na kuna uwezekano zote zisipate updates za Android.
Lakini Oppo inakuja na Android 9 (Pie) wakati Infinix anakuja na Android 11 (Red Velvet Cake)
GPU zote pia zinafanana sio tofauti sana.
Mi nimempa Infinix ushindi.
3. Memory.
Naona hapa mshindi Infinix kwa RAM GB 8 na internal memory ya 128 GB.
4. Camera.
Infinix ana camera tatu nyuma. Kubwa ni 48 MP, na mbili za 2 MP, zenye aperture ya f/2.4 kwaajili ya depth na monochrome. Selfie ni 16 MP.
Oppo yeye anazo pia tatu. 12 MP, f/1.8, (wide), 1/2.86", na mbili za 2 MP, f/2.4, (macro na depth) na selfie ni 8MP.
Mshindi Infinix mapemaa.
5. Bei.
Hii tunakuachia wewe.
Hitimisho.
Mi naona kama unanunua brand utachukua Oppo ila kama unaangalia specifications, Infinix ameshinda.
Sichukui infinix. NimeshtukaAchukue hiyo infinix pamoja na hizo specs zake aone kama atamaliza nayo mwaka bila kuanza lawama.
Nachukua oppo mkuu. Hizi specifications bado hazijanivutATuzilinganishe kwa kuangalia factors 5 za muhimu (5 pillars):
1. Display
Zote ni IPS LCD Displays ila Infinix ni ng'avu zaidi kwasababu ina ppi density ya 380 wakati Oppo 270 tu.
Pia Oppo ni HD 720p inch 6.5 wakati Infinix ni 1080p fHD inch 6.9 ukubwa.
Hapa Mshindi Infinix.
2. Chipset na OS.
Zote zinatumia midrangers chipsets Mediatek na kuna uwezekano zote zisipate updates za Android.
Lakini Oppo inakuja na Android 9 (Pie) wakati Infinix anakuja na Android 11 (Red Velvet Cake)
GPU zote pia zinafanana sio tofauti sana.
Mi nimempa Infinix ushindi.
3. Memory.
Naona hapa mshindi Infinix kwa RAM GB 8 na internal memory ya 128 GB.
4. Camera.
Infinix ana camera tatu nyuma. Kubwa ni 48 MP, na mbili za 2 MP, zenye aperture ya f/2.4 kwaajili ya depth na monochrome. Selfie ni 16 MP.
Oppo yeye anazo pia tatu. 12 MP, f/1.8, (wide), 1/2.86", na mbili za 2 MP, f/2.4, (macro na depth) na selfie ni 8MP.
Mshindi Infinix mapemaa.
5. Bei.
Hii tunakuachia wewe.
Hitimisho.
Mi naona kama unanunua brand utachukua Oppo ila kama unaangalia specifications, Infinix ameshinda.
Mwaka wa nne huu niko na hii simu haijawahi kustack wala kuleta zongo lolote lile na ndiyo simu nimekaa nayo muda mrefu zaidi bila kuichoka.Nachukua oppo mkuu. Hizi specifications bado hazijanivutA
Mimi natumia OPPO, kwa upande wa Applications zinaji-update zenyewe, sikumbuki ni lini niliupdate kwa baadhi ya apps, zingine zinakukumbusha uzi-update. Kifupi haijanisumbuaMwaka wa nne huu niko na hii simu haijawahi kustack wala kuleta zongo lolote lile na ndiyo simu nimekaa nayo muda mrefu zaidi bila kuichoka.
Mimi natumia OPPO A37fw, kwa upande wa Applications zinaji-update zenyewe, sikumbuki ni lini niliupdate kwa baadhi ya apps, zingine zinakukumbusha uzi-update. Kifupi haijanisumbua
Yap, oppo naona iko vizuri zaidiNatumae mleta mada umepata muongozo...