Naomba kuuliza, wale jamaa wananunuaga simu used kutoka Marekani au China mara nyingi huwa ni Nokia, Sony, LG, Samsung huwa wanatumia mtandao gani?
Kwa anayejua naomba anisaidie jina la hiyo website.
Asante.
AL:MAIDAH:5. Leo mmehalalishiwa kila vilivyo izuri na chakula cha wale waliopewa kitabu ni halali kweny na chakula chenu ni halali kwao na mmehalalishiwa kuwaoa wanawake wema wa kiislam na wanawake kwema katika wale waliopewa kitabu kabla yenu ni halali kwenu kuwaoa mtakapo wapa mahari yao...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.