Lipeni wakulima wa korosho

Lipeni wakulima wa korosho

Walipoichagua ccm walijua wanawakomoa watanzania sasa hacha na wao wakomoke.

Mwanzo walidanganywa ktk gesi wakadanganyika na kuisupport ccm kisha wakadanganyika sasa koroshow, nadhani wasaliti hawa wa kusini wapambane tu na hali zao, sie wadanganyika wa kitambo watoto wetu tushapeleka shule.

Sent using Jamii Forums mobile app
Swala la siasa ni gumu! Na lina hatua nyingi, na huna uwezo wa kudhibiti kupiga kura, kuhesabu, kutangaza matokeo, ni mtihani. Fuatilia chaguzi ndogo Arusha, liwale, n.k. utapata jibu.
 
Tatizo la korosho hakuna anayesema ukweli, serikali wanasifu juhudi zilizokwisha kufanyika halafu huku tena wananchi nao wanapiga mayowe ya kudhulumiwa. Nani yuko sahihi
Hilo halina mjadala, takwimu wanatoa wenyewe, na matamko ya kudhulumu korosho wanatamka.
 
Back
Top Bottom