Robot la Matope
JF-Expert Member
- Apr 10, 2015
- 8,587
- 17,532
Mdogo wake Papa.Sikushangai, wa kanisa lipi wewe?
Mdogo wake Papa.Sikushangai, wa kanisa lipi wewe?
Fuatilia mwenyeweTuwekee na matukio ya huko ulipopataja. Huoni mleta mada alivyofanya?
Ooh kumbe ulikuwa unazuwa tu.Fuatilia mwenyewe
Unataka utafuniwe kila kitu,kwani hayo mengine katafunia.
..Hapa kuna tatizo la umri. Baba mzazi miaka 22, mtoto miaka 9. Kwa hiyo baba alipata mtoto akiwa na miaka 12 ama 13. Naona haijakaa sawa hii!
Mkono wa nyani ndiyo kitu gani?Haka kababu ka age 59 kabakaji kanyongwe tu ka vp, tetesi pia zinazagaa alikuwa na mkono wa nyani, inawezekana mjukuu nae kapewa mkono wa nyani
Sent using Jamii Forums mobile app
Mby kuikuts bikira miaka 18 ni hadithi ya bunuasi ila usukumani unaweza ikuta, nasikia hata uchagani.Kwa umri wa huyo aliyembaka mwanawe uliwekwa hapo inaonesha kuwa hata yeye alimpata huyo mtoto akiwa bado ni mdogo sana (miaka 13). Huko inaonesha watu wanafyatuana wakiwa wadogo sana. Baridi.
Huo mchokozi mkuuKwahiyo excuse yako unaipeleka kwenye baridi?!??!? Mwanaizaya mkubwa wewe.
Ajuza punguani wa head