Wasalaam,
kwa yule mwenye uhitaji wa wa patner..
vigezo..
Umri kati ya 32-40
dini mkristo
kiwango cha elimu kuanzia certificate.
sibagui rangi wala kabila..
NB...awe katika hali nzuri,kwa aliye serious nipm
Mmh kwa hivi vigezo daSophy sijui kama utampata!coz wenye sifa hizo wa
rika lako n above wameshawahiwa,,nikimaanisha wanafamilia..anywayz
nisikukatishe tamaa dada yangu kuna wajane na watalaka!kila la kheri
Just b fair!upende kukrash mambo ambayo binadamu yoyote kapitia katika stage za ukuaji kama we ulishatendwa na kukupelekea wewe kuwa kulumbembe mwache na mdogo wetu apate experience ya those sweet memories
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.