siwezi kusema ndio au hapana,kwa sababu yasemwayo yapo,,ila nachoweza kusema ni kwamba wapo wanawake wa aina hiyo,na pia wapo wenye hela na wanoweza kutatua matatizo yao na bado wakawa na heshima ndani ya nyumba,na anaefanya hivo ni limbukeni,,inabid ukimuoa umueleze ukweli na uwe na msimamo ili...