You don't seem to be hurt sana, l hope ni story tu na umeiweka ili iwe funzo kwa wengine!
Naunga mkono hoja,na km nikweli ndo akome na ajifunze,nikosa kubwa sana kutaka kumuingilia mtu ucngizini,psychological anakua hyp active na unaweza ht ukamsababishia kifo kwa mshtuko,ht km ukioa ogopa kumuingilia mkeo akiwa ucngizini dange.