Recent content by Ayasanda

  1. A

    Sababu za Simba kufungwa na Al Masry

    Choyo tu:D:D
  2. A

    Sababu za Simba kufungwa na Al Masry

    Watanzania tunajua sana. Hakuna hata cha maana hapa. Tunayoijua Simba kuna improvement kubwa!
  3. A

    Utendaji wa Train ya SGR uboreshwe

    Wakuu tupo Morogoro na train yetu pendwa ya SGR ila ni mateso. Kabla ya kufika Morogoro tulisimama kama saa zima kwa kisingizio kuwa wanabadili njia. Tumefika Morogoro mpaka sasa tuna dakika 20 bila kuambiwa chochote. Immediate action zinatakiwa kuchuliwa ili kunusuru ufanisi wa train yetu...
  4. A

    Buguruni kunalemaza sana wakuu, hebu angalia nguvu ya 500!

    Jifunze kushukuru Mungu kabla ya kuwa mjivuni!
  5. A

    Kilichofanywa na Iran ni trela tu, ila watazamaji (Israel) wakataka movie nzima wataletewa

    Hivi kweli tumekuwa wa kushangilia vita bila kujali madhara yake.Africa tuna shida kubwa sana aisee
  6. A

    Profesa Godius Kahyarara: Awamu ya 6 imeingiza dola bilioni 21

    Wewe si umeisha std vii wewe!
  7. A

    Baada ya wamachinga, malori Kariakoo ni shida mpya

    Tafuta hela na wewe usisumbuliwe
  8. A

    Huyu ndio Godwin Aswile (Scania)

    Very disappointing answer.
  9. A

    Kila la heri wanafunzi wa Darasa la Nne

    All the best watoto wote.Tuache ubinafsi wa kuwatakia mtihani mwema watoto mnaowajua tu.
  10. A

    Nimeota Nafanya Ngono na Dada angu Tumbo moja

    Maliza kabisa ujue moja
Back
Top Bottom