Inategemea na situation.
Me hii kauli naichukulia fresh tu kama ambavyo me hufanya kwa wengine.
Mimi ikiwa ninazungumza na rafiki na nikapigiwa simu ya kazini, huwa kawaida nitamwambia rafiki yangu. "samahani, naona kazini wanapiga simu, ngoja niwasikilize kisha nakurudia". ama "oya kuna...
"W" kuiita "daliyuuu" sijapenda ungeita hata "dabaliu" basi ningekuelewa. 😒
Hii unatamkwa "dabo`l yu" au tuseme ni "double U"
By the way nilikua nakacha vipindi vya kiingereza 🚬😎
kila mechi ina pressure yake, style ya uchezaji kwa timu pinzani inakua tofauti, strategy tofauti na Psychology bila kusahau ubora wa timu na hata mazingira ya mechi inakua tofauti.
Sasa kwa mechi ya PSG tulikua mbele ya goal mbili kwa aggregate, ilikua tunahitaji kushambulia kwasabab Kila goal...
Sorry to say this but natamani nipate mke kama wako....mimi huyo tutakaa hata mwaka manaake me pia hisia za sex ziko mbali sana...huwa kusex na mpenzi wangu mpaka anzishe utata au ninuniwe ndo nashtuka kumbe kitambo hatujasex 😂......yan kwangu vise versa....huyo tunafanana aisee...lakin kwangu...
Mtu anaweka over 1.5 au over 2.5 karibu mechi 20 au over 1.5 first half mechi 30 mpaka 50 kwa pamoja 😂😂 hivi kweli kabisa halafu mkeka utick ✅
Kusema kweli matreni au kuweka option zenye odd kubwa kwa mechi nyingi kwa pamoja....hii lazima itakua ngumu humu kushinda au kwa mwaka mara Moja bcoz...
Kwanza umeongea kishabiki sana lakin baada ungeleta ushabiki Tanzania na USA ukaachana na China ambaye yupo mbali kiuchumi....angalia Tanzania ili upate uchungu kwasabab hata wewe ukipata uchungu enough unaweza kuanza kufanya mabadiliko kwa kufanya shughuli zenye kuweza kuongeza Hiyo GDP...japo...
Hata main chick wako, sijuo mke wako...naye kwa mwanaume mwingine sauti yake ni tamu, inabembeleza, inajali and so many others....subiri ugundue mchumba/mke wako anavyonyegesha kwa jamaa mwingine ndo utaelewa mambo yanavyokwenda
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.