China ana safari kubwa sana mpaka kuipita Marekani kiuchumi

ward41

JF-Expert Member
Apr 3, 2022
400
1,400
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
 
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
Porojo tu hizo hapo huo uchumi labda sprint dollar

Sent from my SM-A037F using JamiiForums mobile app
 
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
Ukilinganisha gharama za vita kati ya Ukraine dhidi ya Russia unaweza kuona hakuna uchumi haueleweki.
 
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
Screenshot_20231230_163327.jpg

Hii screenshot ikusaidie kukueleza kuwa uchumi wa china umekua kwa kasi ya 10G kuanzia 2000
 
Gdp is not a good indicator of well being..
Sometimes gdp inaweza kuwa kubwa sababu ya inflation.
 
Kwanza umeongea kishabiki sana lakin baada ungeleta ushabiki Tanzania na USA ukaachana na China ambaye yupo mbali kiuchumi....angalia Tanzania ili upate uchungu kwasabab hata wewe ukipata uchungu enough unaweza kuanza kufanya mabadiliko kwa kufanya shughuli zenye kuweza kuongeza Hiyo GDP...japo kwa kiasi kidogo lakin kinaweza kuwa na impact
 
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
US akiacha kuiba mafuta pale middle east na dhahabu yetu waafrika...watakuwa kama zimbabwe tu
 
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
Umeandika ujinga
 
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
USA anahitaji one major war na adversary kama Iran akiwa pamoja na axis zake za resistance pale middle east mchina anachukua nafasi.
 
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion

Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion

China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
Tutulie.
Screenshot_20231209-232805.png
 
Hiyo population ya China ukilinganisha na Marekani, Marekani si kapitwa au nimejichanganya
 
Back
Top Bottom