ward41
JF-Expert Member
- Apr 3, 2022
- 400
- 1,400
Uchumi wa USA in GDP ni 27 trillion USA na China ni 18 trillion
Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion
China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado
Raia wa USA 🇺🇸 ni 333 million na China ni 1.4 billion
China ana safari ndefu Sana kumpita USA na inaweza kufika miaka 100. Ameachwa gape kubwa Sana. Mimi natabiri labda EU lakini kwa China bado