Recent content by Aviaf30

  1. Aviaf30

    Hali ilivyo ndani ya CCM kwasasa

    Nadhani tafsiri yako sio sahihi sana. Kwa uzoefu wangu wa siasa, mara nyingi CCM hupendelea hali hii ya mnyukano wa ndani kwa ndani. Faida yake ni moja, CCM ndiyo inayosemwa na ndiyo inayosikika masikiano mwa watu (kwenye siasa ni kosa kupotea masikioni na midomoni mwa watu), na mbadala wake...
  2. Aviaf30

    Yaliyojiri kikao cha familia ya bilionea Erasto Msuya na DC, vilio vyatawala

    Tupate wimbo kidogo. Hawa wazee walikua ni wanamuziki hasa.
  3. Aviaf30

    Wanaume povu ruksa

    Umenichekesha sana[emoji23]
  4. Aviaf30

    Kesi ya viongozi wa CHADEMA yafika patamu! Mashahidi 200 kuitwa Mahakamani

    Hawawezi fikiria sbb hawahitaji kushinda.
  5. Aviaf30

    Kesi ya viongozi wa CHADEMA yafika patamu! Mashahidi 200 kuitwa Mahakamani

    lengo la washtaki si kushinda. Na wanajua hawashindi. Lengo ni kuwapotezea muda tu. Mashahidi 200 maana yake kesi itachukua muda mrefu zaidi.
  6. Aviaf30

    Watanzania tuelezwe ni wapi alipo Rais wetu Mpendwa John Magufuli, ni haki yetu kujua

    Just google Pacemaker. Utapata mantiki nzima ya hizi habari za kitoto zinazoelezwa.
  7. Aviaf30

    Mtangazaji Dakota wa Clouds fm punguza Mahaba yako kwa Koffi Olomide kwani unatukwaza mno Wasikilizaji wako tuliotukuka

    Kama vile ambavyo umeonyesha mahaba wewe kwa Papa Cherrie. [emoji16][emoji16]
  8. Aviaf30

    Wimbo mpya ya Koffi

    Kwa tuliokua Teens miaka ya 1990, Koffi Olomide alikua ni mwanamuziki ambaye tumesikiliza na kucheza sana nyimbo zake. Binafsi, album yake ya V12, yenye nyimbo kama Andrada, Bambino, Aspirine, Zokere n.k hadi leo nakua nazihusudu. Sahau kuhusu album ya Ultimatum, yenye nyimbo kama Loi, Papa...
  9. Aviaf30

    Moussa Ibrahim, Msemaji wa Zamani wa Cmrd M. Gaddafi yupo

    Huwa naupenda sana wimbo wa Gambler wa Kenny Rogers. Una busara nyingi sana ule wimbo. Katika maisha ni lazima ujifunze kusoma nyakati. Maisha ni kama kamari. Lazima ujifunze wakati gani wa kuachia karata zako, ni wakati gani wa kuzishikilia, ni wakati gani wa kukimbia. Watalawa makini...
  10. Aviaf30

    Ushauri wa Kipuuzi kwenu Wapinzani: Mpeni Kamba Magufuli ajinyonge mwenyewe

    Upinzani unaogombea uchama kikuu cha Upinzani haya hawawezi elewa.
  11. Aviaf30

    Ushauri; Tundu Lissu usipite njia za Kambona, utajitesa wewe na kizazi chako

    Nadhani labda hujui historia au unafanya kusudi. Labda nikusaidie. 1. Kambona aliondoka Tanzania akiwa na afya yake salama, Tundu Lissu ameondoka Tanzania akiwa hajitambui baada ya kushambuliwa na risasa takribani 40. 2. Kambona alitofautiana na Nyerere 'Rasmi', Lissu hajatofautiana na...
  12. Aviaf30

    Kwanini ni Mbowe, na kwanini Chadema haifi kama walivyoahidi?

    Kwani mkuu maarifa ya ujasusi ni nani mwenye haki ya kuwa nayo?
  13. Aviaf30

    Kwanini ni Mbowe, na kwanini Chadema haifi kama walivyoahidi?

    Nakuelewa sana, sina mashaka na kuwa kinachoolezwa juu ya Mbowe ni propaganda. Bahati mbaya ya tu, watumiaji wa mitandao, hasa wale walioaminika kuwa ni wenye upeo mkubwa (twitter) wanakua kama hawana vichwa vya kufanya tafakuri. Hoja yangu ilikua ni utetezi wa Mbowe kutokuwa Acc officer wa...
  14. Aviaf30

    Kwanini ni Mbowe, na kwanini Chadema haifi kama walivyoahidi?

    Kwanza nikiri, Freeman Aikael Mbowe ni mmoja ya wanasiasa wenye mioyo migumu sana kutokana na masaibu aliyoyapitia kwenye kuongoza siasa ndani ya chama chake. Mimi sio muumini wa terms limit, bali ni muumini wa utashi wa wanaoongozwa. Kama wanachadema wakiridhia Mbowe awaongoze tena, it well and...
Back
Top Bottom