Recent content by audax Medard

  1. audax Medard

    Tutambue mataifa ya Mungu na faida zake

    Watu hawa huwa wana pewa adhabu. Na Mungu kwakuwa kizazi huwa kinazaliwa kipya. Na kikizaliwa kinashindwa kumueshimu Mungu. Mungu anawaacha waende utumwa ni mpaka pale watakapo mkumbuka na kutubu anatafuta Mutu miongoni mwao mwenye kumheshimu awaongeze kutoka tena utumwa
  2. audax Medard

    Viuma chakavu kupanda bei

    Ukweli ni kwamba twendeni Ukraine tukaokote VIUMA chakavu
  3. audax Medard

    Tutambue mataifa ya Mungu na faida zake

    Asante kwa kuniambia sikujua hilo
  4. audax Medard

    Tutambue mataifa ya Mungu na faida zake

    Ukweli ndio huo mataifa mengine hadi utasikia mkandarasi kutokana china wenyewe hawawezi
  5. audax Medard

    Tutambue mataifa ya Mungu na faida zake

    Ni kweli inasadikiwa dunia ina MATAIFA fulani fulani kama unatambua tutajie na faida zake. Mimi naanza na Israel. Ni taifa la kwanza kwa kuingiza pesa za kitalii duniani. Na ni watu hatari ktk vita yoyote ile duniani. Na ni maarufu kwa ujenzi aina ya nyumba za Ikulu na majengo yao hudumu. Na...
  6. audax Medard

    Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

    Ni kweli sisi hatuwezi kuendelea kuibiwa
  7. audax Medard

    Majenerali wawili wa Urusi wauawa ndani ya siku moja

    Mbona Rasia yenyewe majengo yake yapo vizuri Yaani Ukraine wakija kusimama kiuchumi si leo Na wajukuu wataripa deni
  8. audax Medard

    Kwanini Ukianza washughulikia M23 utasikia Rwanda analialia

    Uyo kagame azidiani na Museveni
  9. audax Medard

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Mtajua 2025 tunawazo letu Hii sio nchi ya wanawake???
  10. audax Medard

    Maoni, Ushauri, Mapendekezo na Pongezi kwa Rais Samia Suluhu Hassan

    Mwaka 2025 ndio atajua kuwa sisi sio wa Samia!!!!!
  11. audax Medard

    Natafuta soko la unga wa muhogo, nina tani mbili

    Jamani mimi ninafanya biashara ya unga wa muhogo kg 1 sh.800 Nafunga kg 50 sh. 39000 Natafuta soko
Back
Top Bottom