audax Medard
Member
- Mar 25, 2022
- 16
- 8
Jamani mimi ninafanya biashara ya unga wa muhogo kg 1 sh.800
Nafunga kg 50 sh. 39000
Natafuta soko
Nafunga kg 50 sh. 39000
Natafuta soko
Acha upuuzi, siyo muogo ni muhogoJamani Mimi ninafanya biashara ya unga wa muhogo kg 1sh.800
Nafunga kg 50 sh.39000
Natafuta soko View attachment 2165199
Wapi amesema ana Tani 50 mkuu?Tani Hamsini na hauna soko la uhakika??? una moyo mkuu sana, Mwenyezi akujaalieni wateja mkuu
Zamani tulitumia Uji wa Muhogo kama Gundi la kugindishia Mifuko ya karatasi za Simenti