Recent content by ATM ya JF

  1. A

    JamiiForums Tanzania Unalijua hili la kodi ya laini ya simu..??

    mimi huwa wananikata pesa yangu. nikiweka vocha 2, nakuta akuna kitu nikiwapigia wanasema niwapigie badae kwa kua hakuna kumbukumbu ya matumizi yangu. nahic ninalipa kwa styyle hii
  2. A

    JamiiForums Tanzania Nipo Mbeya nahitaji Extanal DvD room Niko na 35

    otea ndio nn
  3. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Extenal DvD Room

    Kwa mwenye hii kitu ajongee tufanye biashara. Nahitaji DVD room used. Naishi Mbeya na niko 35
  4. A

    JamiiForums Tanzania Nipo Mbeya nahitaji Extanal DvD room Niko na 35

    mwenye hii kitu.ajongee tufanye biashara nahitaji dvd room iwe used
  5. A

    JamiiForums Tanzania Viroja: Siku ya kwanza kupanda ndege (ushamba mzigo)

    Mimi ilikuwa 2014 Dar to Mbeya. Nilikuwa napiga kelele kuwa Ticket yangu Haina City No. kumbe unapewa City No. pindi napanda. Nilipopanda nikawa nakenua meno kila mtu ananishangaa. Halafu nilikuwa na viroba vya konyagi.
  6. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Muuzaji wa Tshirt za Jezi Original

    ndio mkuu
  7. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Tshirt za Jezi Original Kwa bei ya jumla

    mwenye hii kitu ajitokeze
  8. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Muuzaji wa Tshirt za Jezi Original

    Habari wana JF Najitaji mtu anayeuza tshirt aina ya jezi ambazo ni original. Aniuzie kwa bei ya jumla, ama anielekeze duka linalouza kwa bei ya jumla. Nakumbuka nikiwa Dar nilikua nanunua elfu 8 kwa rejareja.
  9. A

    JamiiForums Tanzania Nahitaji Tshirt za Jezi Original Kwa bei ya jumla

    HAbari wana jf, najitaji mtu anayeuza tshirt aina ye jezi ambazo ni original. aniuzie kwa bei ya jumla. ama anielekeze duka linalouza. pia anipe na bei ya jumla 0754078015 nakumbuka nikiwa dar nilikua nanunua elfu 8 kwa rejareja.
  10. A

    JamiiForums Tanzania Naitaji Binti Hapa Mbeya, Kuna kazi Nataka Kufanya nae

    mwenye kujua yuko mbeya lakini ni binti. awe mrembo co wale wakuwafunika uso. Aje Prvt nimpe kazi
  11. A

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu modem yangu Vodafone k3771

    swali ni kwamba najaribu kuinstall modem yangu inagoma inafika karibu na mwisho inagandaaa zen inalolling buck. sjajua tatizo nn pia ata ikiingia inshu inakuja network akuna
  12. A

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu modem yangu Vodafone k3771

    Jamani naomba msaada modem yangu haishiki network . pia nikiwa naistall inaingia ikifika katikati inagoma inaanza kurudi nyuma inajiunstall. na endapo itaingia bac ujue haishiki mtandao. model yake ni Vodafone K3771.naombeni msaada wapendwa
  13. A

    JamiiForums Tanzania Natafuta marafiki wa kike wenye asili ya kiarabu na wa kihindi

    na ulivyokomaa na kukonda uso ndio umpate mwarabu, utaliwa kabang
  14. A

    JamiiForums Tanzania yeyote aliyeko mwanza

    tutafutane mda c mrefu nakuja from dar
  15. A

    JamiiForums Tanzania Wadada mlioko mwanza, sirari mpaka kenya

    yeyote aliye tayari kunipa kampani, mm natokea dar nakuja maeneo hayo. ili aweze nitembeza jj
Back
Top Bottom