Msaada kuhusu modem yangu Vodafone k3771

Msaada kuhusu modem yangu Vodafone k3771

ATM ya JF

Member
Joined
Feb 7, 2014
Posts
16
Reaction score
73
Jamani naomba msaada modem yangu haishiki network . pia nikiwa naistall inaingia ikifika katikati inagoma inaanza kurudi nyuma inajiunstall. na endapo itaingia bac ujue haishiki mtandao. model yake ni Vodafone K3771.naombeni msaada wapendwa
 
Fanya tu hivi bwana mdogo
.
Download huawei Dashbord hii apa
.
CUSTOMIZED HUAWEI DASHBORD
.
Install hiyo modem yako hata isipofanya kazi
ila weka laini ndani
hakikisha ume close programs zote hata hiyo ya modem
.
Kisha fungua hako ka program uliko ka download hapo juu.....
Weka katika desktop yako then fungua na u click next kaache katamaliza kila kitu kenyewe
.
WARNING
.
usichomoe modem yako bila hiyo program kukuambia successfully
SITAHUSIKA

.
.
Swali lolote nipo hapa
 
swali ni kwamba najaribu kuinstall modem yangu inagoma inafika karibu na mwisho inagandaaa zen inalolling buck. sjajua tatizo nn pia ata ikiingia inshu inakuja network akuna
 
swali ni kwamba najaribu kuinstall modem yangu inagoma inafika karibu na mwisho inagandaaa zen inalolling buck. sjajua tatizo nn pia ata ikiingia inshu inakuja network akuna

.
Sikiliza ww
ikiingia hata hata isipo shika network
we fanya nilivyokuelezea hapo juu
nnacho kuelekeza ni kuzibadilisha driver za modem yako zipo out dated
we ikiingia tu fuata hayo maelekezo
.
 
Fanya tu hivi bwana
mdogo
.
Download huawei Dashbord hii apa
.
CUSTOMIZED
HUAWEI DASHBORD

.
Install hiyo modem yako hata isipofanya kazi
ila weka laini ndani
hakikisha ume close programs zote hata hiyo ya modem
.
Kisha fungua hako ka program uliko ka download hapo juu.....
Weka katika desktop yako then fungua na u click next kaache katamaliza
kila kitu kenyewe
.
WARNING
.
usichomoe modem yako bila hiyo program kukuambia successfully
SITAHUSIKA

.
.
Swali lolote nipo hapa

mkuu nami nina tatizo kama hilo la kuroll back kwenye modem ya vodafone zte k3570 msaada plz
 
mkuu nami nina tatizo kama hilo la kuroll back kwenye modem ya vodafone zte k3570 msaada plz

.
Kaka we hakikisha ume install hiyo software iliyo ndani ya modem kwanza.....
.
Bila hivyo hako ka program hapo juu hakataweza ku find port ya modem yako....
.
Yani hizo modem dawa yake ni ku change dashboard as explained above
.
Kama hujaelewa uliza!!!
 
.
Kaka we hakikisha ume install hiyo software iliyo ndani ya modem kwanza.....
.
Bila hivyo hako ka program hapo juu hakataweza ku find port ya modem yako....
.
Yani hizo modem dawa yake ni ku change dashboard as explained above
.
Kama hujaelewa uliza!!!

that's the thing bro, hiyo software ya ndani ina install ikifika karibu na mwisho inaanza kuroll back na kuji unistall yenyewe
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom