Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 34,637
- 38,017
Hivi unafahamu kwamba ile kodi ya laini ya simu tunailipa kama kawa...??? Umeshajiuliza kwa nini muda wa kwenye vifurushi vya muda wa maongezi ulipunguzwa lakini kiasi cha fedha kikabaki kile kile...???
Ni kwamba serikali iliamua kinyemela kuongeza makusanyo toka kampuni za simu, nao wakaona kwa kurudisha hela hiyo ni kwenye vifurushi na huko hakuna atakayeshitukia kiurahisi. Na kwa sasa ukipiga simu off net wakati hujajiunga na kifurushi chochote rate ni kubwa ukilinganisha na ilivyokuwa mwanzo.
Tumeliwa kimtindo. Kodi ya laini ilikuwa inawagharimu baadhi ya watu kisiasa, hivyo wakaona waje kivingine. Na kweli wamekuja na wametufikia..
Ni kwamba serikali iliamua kinyemela kuongeza makusanyo toka kampuni za simu, nao wakaona kwa kurudisha hela hiyo ni kwenye vifurushi na huko hakuna atakayeshitukia kiurahisi. Na kwa sasa ukipiga simu off net wakati hujajiunga na kifurushi chochote rate ni kubwa ukilinganisha na ilivyokuwa mwanzo.
Tumeliwa kimtindo. Kodi ya laini ilikuwa inawagharimu baadhi ya watu kisiasa, hivyo wakaona waje kivingine. Na kweli wamekuja na wametufikia..