Mi muhanga wa jambo ilo yamenikuta muhimbili ndugu yangu alilazwa jakaya kikwete siku kama 12 nililipa 2 million yani hapo nimepata na misamaha ustawi wa jamii wakati huo maiti ipo mochwali
Ni watanzania halisi wote wamezaliwa Tanzania kama wewe hakuna ata mmoja kati ya hao walitoka nje pamoja na wazazi wao pia labda mababu zao tena ata hao mababu wengi wao ni wazawa wenzetu wana umakini na pesa katika kutunza na kutumia ndio mafanikio yao hawana mambo mengi kama sisi tena hawana...
Mbona we we utaki kwenda makao makuu ya chama kule Zanzibar unakaa buguruni wakati makao makuu yapo kule nenda Zanzibar ukafanye kazi kwani za chama zipo dar tu? Maalim sefu yupo makao makuu ya cuf basi mfuate huko sio kumuitia buguruni tu unatakiwa uende Zanzibar ukajenge chama kama kweli we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.